Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Anafanana na Maria Roza vile! teh teh teh teh tehteh
Mh huyu wa ma vx anadanganywa ila yule wa kuchota maji anapewa ukweli lililo moyoni mwa yule kaka
Unashangaa nini wakati unaona wazi siku hizi jua linavyopiga balaa.mie mwenyewe shida,nkaongeze tabu za nn.ukija na vx unakuwa tax yangu sipigwi na jua barabarani,kwanini nikukatae?ukitaka kumiliki demu ujue garama zake sio unakuja kichwa kichwa tu.aku babu,uzuri unatunzwa urembo unauzwa barabarani,yanini ukanifubaishe mtoto wa mwenzio!huna vx chukua taimu
Sasa ndio itakuwaje,au utajifunza kuzoea...................
kweli kabisa Gaga, kama ni mkweli kwanini uje na vx, si lazma aw real? mtu ampende jinsi alivyo na si kwa magari ya kuazima,mwisho wa siku.. ohooo....
Unashangaa nini wakati unaona wazi siku hizi jua linavyopiga balaa.mie mwenyewe shida,nkaongeze tabu za nn.ukija na vx unakuwa tax yangu sipigwi na jua barabarani,kwanini nikukatae?ukitaka kumiliki demu ujue garama zake sio unakuja kichwa kichwa tu.aku babu,uzuri unatunzwa urembo unauzwa barabarani,yanini ukanifubaishe mtoto wa mwenzio!huna vx chukua taimu
Habari yake tax driver!
Dah hii mida ya kupost hii...
magari yote meupe yangu...
Mhh hii kali
Mmejuaje ninatongoza? Huyo ni mimi na dada yangu.
magari yote yaliyoanza na TZ ni yangu
taa zote za barabaran za mjombangu
magorofa yote yenye lift ya kakangu
wanaume wote wenye vtamb ni kaka zangu
rose umenikumbusha, kuna mmoja huyo ndani ya nusu saa alikuwa kashajifagilia hadi kaniboa.
Eti ana kampuni, ana stationary, hadware, gari aliyonayo haimtoshi anataka kununua nyingine, ana nyumba kubwa ya vyumba kumi, yupo kwenye ujenzi wa lodge halafu anataka aende nje akachukue vifaa vya ofisi. Mengine ngoja niyamezee.
Haya mambo kumbe yapo bwana. Lol!