alikuwepo pia Ayoub Rioba, Prof. Baregu anasema alikuwa china na alishuhudia jinsi nchi ilivyokuwa kwenye pilikapilika lakini alipo rudi bongo alisononeka moyoni alipokuta watu wapo vijiweni wanapiga soga. Kitila MKUMBO yeye kasema viongozi wetu wa leo si kama zama za mwalimu kwani unaweza kukuta kiongozi amekaa madarakani miaka 15 hajawahi kuandika article hata moja kiasi kwamba wananchi wanashindwa kujua misimamo yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.