Angalia ramani alikoshinda Magufuli na Lowassa

Angalia ramani alikoshinda Magufuli na Lowassa

Population haiko evenly distributed.Kuna maeneo yana watu wengi na mengine yana wachache.

Lowasa ukiangalia ramani concentration yake ilikuwa maeneo yenye watu wengi tu hasa yenye watu wengi waliorundikana sehemu moja karibu karibu ambayo hasa ni mijini.Magufuli ali concenrate maeneo yote ya nchi hata yale ya vijijini yenye watu wachache.Msisitizo wake ulilenga kuwafikia watanzania wote bila kujali idadi yao.Lowasa aliangalia hasa maeneo yenye idadi kubwa tu.Ndio maana unaona amegusa tu hapa na pale maeneo machache tu lakini yenye watu wengi.Ndio maana alikuwa anarudia rudia maeneo yale yale tofauti na Magufuli.

Magufuli kafikia karibu makabila yote tofauti na Lowasa
malizia kabisa mkuu, kawafikia makabila yote tena kwa gari. na kufanya mikutano njiani mingi isiyo rasmi. hii imemsaidia sana
 
Wanasema usimhukumu chizi, hukumu maneno yake. Nape anaonekana chizi kwa wengine lakini usemi wake wa upinzani kuchukua "Oil Chafu" ndiyo moja ya sababu kushindwa UKAWA kwenye uRais.
Majibu yao mepesi ya "sisi hatukusanyi kodi", . . .maendeleo ni watu na maneno tuuuu bila vitendo sio tija kwa sasa, miradi midogo kama vituo vya afya, vyoo mashuleni. . . .
Kwa mtindo ule ule wa harambee wangeweza kufanya mifano mingi tu na wananchi wangeona ila wao kila ukiwashauri hii approach jibu lao ni hilo. . . "kodi inachukua serikali ya Kikwete". . . .

Here we are. . . .
 
Ramani ya majuha hiyo ya CCM..!!

Matokeo yalio pikwa, UNATEGEMEA WATACHORA RAMANI GANI...?

That is FAKE map, for fake votes...!!
 
Usipumbazwe kwa kuangalia rangi cheza na data, mil.8 kwa mil. 6.

Unakosea na data zako hizo. Hizo ni estimate za fisi akimhukumu kondoo. Actual ni tofauti kabisa hata wao wanajua na in forensic terms hata nyuso zao zinaonesha hii crime. Hawana confidence ya kufurahi toka moyoni. Rejea kuchukua cheti kura zilipotajwa na kisha response ya hadhira. Hawakuwa na confidence ya kutumia hata magari yao ya deraya.


Rejea utulivu uliopo nchi nzima ukidadavua si kwamba wananchi wanafuraha ila ni kwa kuwa expectations zao zimebakwa. Imekuwa simanzi. Kila kona utakayokwenda nchi hii hali ni hiyo.

Rejea nchi majirani zetu hawana hamasa ya uchaguzi huu na mbaya zaidi rejea comment ya Kagame.

Rejea hata barua ya petition ikifanyiwa mizengwe kupokelewa.

Sasa hapakazi tu - ada, hospitali sasa hata corridors zitakuwa wodi, kwa wenye tumbo za kuharisha vyoo vitakuwa wodi zao, hali itaenda kuwa mbaya na ama kwa hakika tutasema leo heri ya jana. Tutamkumbuka sana jk wetu, hapo ndiyo vilio na kusaga meno.

Mziki anyhow haujaanza, lets wait and see minyukano ikianza ndani ya chama hicho tena. Dalili ni unaona tayari watu wakijikomba kupata uwaziri nk. amabayo iko dhahiri ili kurudia mirija yao ya kunyonya.

Rejea pia katiba siyo priority yake.
 
We Mpuuzi acha kujitoa ufahamu.

Kwanini JECHA amefuta uchaguzi huko Zanzibar? Sio ndio nyie nyie mnalalamika kuibiwa kura?

Angeshinda Mh. Lowasa mngesemaje? Umejiunga na JF siku ya uchaguzi, halafu unatoa lugha chafu.. Usamehewe bure.
 
Raisi Magufuli hadi raha kutamka jina lake

Jana alipopokea cheti hata sikujutia kumsubiri juani kwa hoja alizozimwaga

Raisi wa mtu yeyote ambaye mi Mtanzania.
Raisi Magufuli ni jina refu, linachosha.
Mimi nitatumia fupi, Raisi Pombe.
 
Mlimsifia Kikwete kwa SURA yake 2005, hadi sasa 2015 maisha bora kwa watanzania wengi yamegoma. Sasa mmeamua kusifia JINA kwa kuamini kwamba litasaidia. Sina shaka kuna wapenda pombe walimpigia kura kwa kuaminishwa kuwa akichaguliwa watakuwa wanapewa pombe bure.

Anyway, muda wa maneno na sifa za majukwaani umekwisha. Hukumu ya NEC muda wake sasa umepita pia. Bado hukumu ya kweli inakuja, nayo ni kuona Kazi iliyoahidiwa ikitendeka.
Wengine hawakuwa na makufuli ya kufungia mabanda ya kuku
 
Angalia ramani alikoshida magufuli na alikoshinda lowasa

KIJANI-MAENEO ALIKOSHINDA MAGUFULI
BLUE-MAENEO ALIKOSHINDA LOWASA

Kiujumla Magufuli kashinda sehemu kubwa ya nchi na inaonyesha nchi inamkubali kuliko Lowasa.Magufuli anakubaliwa na watanzania wengi na makabila mengi kuliko Lowasa

CSfYoQeWUAAmd5I.jpg
Wewe lazima umesomea mambo ya Propaganda Korea Kaskazini na kupigwa msasa chuo cha chama Kivukoni.

"Upumbavu na ulofa" vinakusumbua.
 
Angalia ramani alikoshida magufuli na alikoshinda lowasa

KIJANI-MAENEO ALIKOSHINDA MAGUFULI
BLUE-MAENEO ALIKOSHINDA LOWASA

Kiujumla Magufuli kashinda sehemu kubwa ya nchi na inaonyesha nchi inamkubali kuliko Lowasa.Magufuli anakubaliwa na watanzania wengi na makabila mengi kuliko Lowasa

CSfYoQeWUAAmd5I.jpg

Naomba utuchoree ramani nyingine inayoonyesha mikoa yenye watu waliolimika na kupiga hatua kwenye huduma za kijamii
 
Usipumbazwe kwa kuangalia rangi cheza na data, mil.8 kwa mil. 6.
Ni sahihi cha msingi ni data kwani hata humo kwenye kijani kuna watanzania waliompatia Lowassa kura, na kwenye blue kuna waliompa Magufuli kura.
 
Naomba utuchoree ramani nyingine inayoonyesha mikoa yenye watu waliolimika na kupiga hatua kwenye huduma za kijamii

Naomba wewe utucholee ramani ambayo inaonesha Mawaziri wa wakuu na Fedha walivotoka.

Utucholee maeneo yenye rasilimali za serikali nyingi na ambako jasho la mtanzania limetumika kuendeleza zaidi
 
Mbwembwe zenu zote pamoja na vitisho dhidi ya kina mama na wastaarbu wengi kuogopa fujo zenu Ccm imepoteza only 3% 2010 ilipata 61% mwaka huu imepata 58% na viti 16 vya bunge na yenyewe imekomboa majimbo 12. Sasa nyie fanyeni tathmini ya mabilion mliyoteketeza inaendana na matokeo?. Tena 65% ya kura zenu mmepata za mapoti wenu kuanzia njia panda ya himo

..kila upande umepata kura za UKABILA.

..Dr.Magufuli sasa ni raisi na anapaswa arekebishe mpasuko uliotokea.

..wa-Tz wameanza kutoleana maneno mabaya na kashfa za kikabila waziwazi. Tumeshuhudia hayo wakati wa kampeni.

..juhudi za lazima zifanyike kutibu majeraha ya kampeni za uchaguzi wa mwaka huu.

..kuhusu mabilioni naona kama ccm ndiyo waliotumia fedha nyingi kupita kiasi.

..kuna ulazima wa kubadilisha sheria zetu za uchaguzi ili kuweka udhibiti ktk matumizi ya vyama wakati wa kampeni.

..tukiendelea namna hii itafika wakati MATAJIRI watakuwa wananunua CHAGUZI zetu.

cc Watu8, The Boss, Nguruvi3, Mag3
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom