Angalia ramani alikoshinda Magufuli na Lowassa

Angalia ramani alikoshinda Magufuli na Lowassa

ukweli unauma ndiyo hivyo watu waliacha kutumia vibatari kusomea!
huwezi wadanganya tena wachaga leo na haitaka ndio wamarekani wetu kwa tanzania huwezi mdanganya na kofia au kwa ahadi za uwongo uwongo kama watu wa dodoma ukitaka kwenda kupeleka uwongo wako ujipange kweli kweli kwenda kuwapa ahadi za shule,maji, umeme, bara bara, nisawa na kufika pale uwaonyeshe mlima kilimanjaro!
hakuna mwenye akili iliyo yenye tope kama yako huko

Mlituibia mkajineemesha kwenu watanzania hawatowapa nafasi tena, tumieni hivyo mlivotuibia, labda muunde jamhuri ya watu wa kaskazini, tutaendelea kuwakataa na kuwakataa.
 
Kabla ya kuandika tambo hizi inakupasa urejee nyuma na uainishe ushindi wa CCM kwa asilimia dhidi ya wapinzani tangu mwaka 1995...

Baada ya hapo uje na jibu, je asilimia alizoshinda Magufuli zinasimama nafasi ya ngapi?

Hatoishi milele huyo MTUME wenu
 
Mlituibia mkajineemesha kwenu watanzania hawatowapa nafasi tena, tumieni hivyo mlivotuibia, labda muunde jamhuri ya watu wa kaskazini, tutaendelea kuwakataa na kuwakataa.

Hawaachi kutaja kabila zao lakini wajue tu, watanzania hatuji kufanya kosa kuwaamini katika nafasi yoyote ile na mara hii majizi yao yote yatakoma ..wezi wakubwa hawa
 
kwan uchaguzi umefanyika lini jamani maana mimi nlisikia tu kuna uteuzi wa rais
 
Hawaachi kutaja kabila zao lakini wajue tu, watanzania hatuji kufanya kosa kuwaamini katika nafasi yoyote ile na mara hii majizi yao yote yatakoma ..wezi wakubwa hawa

Hawa watu ni waajabu sana wao walineemeka kupitia ccm wakitumia mwanya wa kuwa serikalini kuhamisha utajiri wa kwao, leo wanawacheka watanzania wengine kuwa wana tope badala ya ubongo, waache wajitengezee nafasi ya kuchukiwa.
 
Angalia ramani alikoshida magufuli na alikoshinda lowasa

KIJANI-MAENEO ALIKOSHINDA MAGUFULI
BLUE-MAENEO ALIKOSHINDA LOWASA

Kiujumla Magufuli kashinda sehemu kubwa ya nchi na inaonyesha nchi inamkubali kuliko Lowasa.Magufuli anakubaliwa na watanzania wengi na makabila mengi kuliko Lowasa

CSfYoQeWUAAmd5I.jpg
Hii ramani inaonyesha mtazamo unaoitwa 'Winner takes all', yaani aliyeshinda anapewa kila kitu hata kama tofauti kati ya mshindi na mshindwa ni ndogo sana. Hii ina maana kuwa katika jimbo ambalo wagombea wamepishana kwa kura chache, kama 100 hivi, bado linahesabiwa kuwa lote ni la mshindi. Ukweli kuhusu kukubalika siyo hivyo. Ukweli unapatikana kwa kuangalia takwimu za kura halisi, ikiwa na zenyewe zinaaminika.
 
Ramani sio kigezo ukishinda dar. Arusha. Mwanza.mbeya.moshi.iringa.unaweza kuchukua nnchi
 
angekuwa amechaguliwa kihalali inchi ingezizima kwa shangwe..lakini utafikiri tumetangaziwa msiba wa kitaifa...!!!

tunawaogopa ukawa maana mna hasira. Tukivaa sare tu mnazomea............chama cha wahuni...
 
Hivi Magufuli alishinda Uchaguzi?
Au alishindishwa na NECCCM.

Hivi mnyika, mdee, kubenea, pr jay, maulid, matiko nao walishindishwa na NEC mtanyoooka tu hapa kazi tu wabunge wachache hvyo ndo mchukue nchi
 
Kama Unaangalia Tv Ya Kugongea Utaonaje Shangwe Za Watanzania? Angalia Tv Zote Tangia Juzi Na Hadi Jana Zilikuwa Zinaonyesha Jinsi Watu WALIVYOSHANGILIA Kupita MAELEZO Ushindi Wa MWANAMUME Rais Mteule Dr. John Pombe Joseph MAGUFULI.
sawa mama tumekuelewa
 
Haimaanishi kua maeneo ambayo Magu ameshinda....Lowa alikuwa akipata 0.

Kusoma na kuelewa takwimu kwenye ramani kazi kweli kweli kwa baadhi ya watu.afadhali umewaeleza.
 
Wana jamvi,
Uchaguzi mkuu umeisha na mshindi kutangazwa na mshindi kutoka chama tawala kwa kukubaliana na kwa kutokubaliana kwa baadhi ya watanzania.Je je sehemu zipi ambazo vyama vya upinzani nchini vinapokesea na hatimaye kushindwa katika uchaguzi kuanzia kazi ya serikali ya mtaa,udiwani,ubunge na urais.Lengo la uzi huu ni kujua udhaifu na mapungufu ambayo yakirekebishwa yanaweza kusaidia vyama vya upinzani katika uchaguzi wowote unaokuja mbele ikumbukwe pia kuna kata,majimbo ambayo uchaguzi haikufanyika kwa sababu moja au nyingine.
Naomba kuwasilisha
 
Wanasema usimhukumu chizi, hukumu maneno yake. Nape anaonekana chizi kwa wengine lakini usemi wake wa upinzani kuchukua "Oil Chafu" ndiyo moja ya sababu kushindwa UKAWA kwenye uRais.
 
Back
Top Bottom