Mtumzima
Senior Member
- Sep 10, 2008
- 169
- 119
Viroba vya konyagi na pande la keki asubuhi vinafanya kazi sana!!!Hivi Magufuli alishinda Uchaguzi?
Au alishindishwa na NECCCM.
Viroba vya konyagi na pande la keki asubuhi vinafanya kazi sana!!!Hivi Magufuli alishinda Uchaguzi?
Au alishindishwa na NECCCM.
Angekuwa amechaguliwa kihalali inchi ingezizima kwa shangwe..lakini utafikiri tumetangaziwa msiba wa kitaifa...!!!
Wajinga wapo wengi unafurahia Magufuli kukutana na Obama?Rais john pombe magufuli,leo anaanza ziara ya kikazi nchini marekani ambapo atakutana na barack obama mjini washngton.hadi raha yani.
Rais john pombe magufuli,leo anaanza ziara ya kikazi nchini marekani ambapo atakutana na barack obama mjini washngton.hadi raha yani.
uko uchagani umeme ulikuwepo kabla ya uhuru we manka huko watu wana akili zao siyo za kushikiwa!
uko uchagani umeme ulikuwepo kabla ya uhuru we manka huko watu wana akili zao siyo za kushikiwa!
mbona milioni 8 na 6 haZishabihiyani na ramani
Angalia ramani alikoshida magufuli na alikoshinda lowasa
KIJANI-MAENEO ALIKOSHINDA MAGUFULI
BLUE-MAENEO ALIKOSHINDA LOWASA
Kiujumla Magufuli kashinda sehemu kubwa ya nchi na inaonyesha nchi inamkubali kuliko Lowasa.Magufuli anakubaliwa na watanzania wengi na makabila mengi kuliko Lowasa
![]()
Hiyo ndo imetoa asilimia 58.46 dhidi ya 39.98 mbona hakuna correration.
Mlimsifia Kikwete kwa SURA yake 2005, hadi sasa 2015 maisha bora kwa watanzania wengi yamegoma. Sasa mmeamua kusifia JINA kwa kuamini kwamba litasaidia. Sina shaka kuna wapenda pombe walimpigia kura kwa kuaminishwa kuwa akichaguliwa watakuwa wanapewa pombe bure.
Anyway, muda wa maneno na sifa za majukwaani umekwisha. Hukumu ya NEC muda wake sasa umepita pia. Bado hukumu ya kweli inakuja, nayo ni kuona Kazi iliyoahidiwa ikitendeka.
Hivi Magufuli alishinda Uchaguzi?
Au alishindishwa na NECCCM.
Simba ikiifunga abajalo hutaona watu barabarani wakishangilia ila ilipoifunga Zamaleck 2003 furaha maandamamo mpaka watu 5 walifariki, Siku Mkisikia Comrade Ndugu Sir Abdulrahman Omar Kinana amejiuzulu au kustaafu kuwa Mwnkt wa Kampeni za Ccm mnapaswa kukesha na Mbege usiku kucha kushangilia. Tangu mfumo wa Vyama vingi kurejeshwa 1992 huyu ndie Ferguson wa Chama cha Mapinduz.Jeuri ya Ushindi ya Jk ikitokana na kuoneshwa Mikakati ya Ushindi na huyu Mtu. Hata kumnyofoa Minywele ndani ya Ccm ingekuwa ndoto bila Mpango mkakati wa huyu Jamaa. Jana tukiwa Lumumba Anne Makinda akiwa kwny maongezi yasiyo rasmi alisema Kinana ni zawadi special ya Mwnzmungu kwa Chama cha Mapinduzi
Kabla ya kuandika tambo hizi inakupasa urejee nyuma na uainishe ushindi wa CCM kwa asilimia dhidi ya wapinzani tangu mwaka 1995...
Baada ya hapo uje na jibu, je asilimia alizoshinda Magufuli zinasimama nafasi ya ngapi?
Mbwembwe zenu zote pamoja na vitisho dhidi ya kina mama na wastaarbu wengi kuogopa fujo zenu Ccm imepoteza only 3% 2010 ilipata 61% mwaka huu imepata 58% na viti 16 vya bunge na yenyewe imekomboa majimbo 12. Sasa nyie fanyeni tathmini ya mabilion mliyoteketeza inaendana na matokeo?. Tena 65% ya kura zenu mmepata za mapoti wenu kuanzia njia panda ya himo
Angekuwa amechaguliwa kihalali inchi ingezizima kwa shangwe..lakini utafikiri tumetangaziwa msiba wa kitaifa...!!!
ukweli unauma ndiyo hivyo watu waliacha kutumia vibatari kusomea!we jinga sana kuwa na umeme haina maana kuwa na akili
Hakuna mtu alieibiwa kura. Msisikilize propaganda za wanasiasa. Vinginevyo na wewe kama ni propaganda machinery hapo sina cha kukushauri.