Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,170
Si ile foleni yako jaman unayowakula hivi huwa unajigawaje lakini mshipaFoleni ipi hiyo Shunie, hahaha
Si ile foleni yako jaman unayowakula hivi huwa unajigawaje lakini mshipaFoleni ipi hiyo Shunie, hahaha
Khaaaahuyu ndugu, ni kwamba anafanya mapenzi na makahaba na makahaba wanamlipa yeye, wanamnunulia vinywaji, na chakula na shida nyingine za home wanamaliza wao, yeye kazi yake ni moja tuu, anaenda eneo la tukio, akitokea mteja anaondoka na yule mwanamke au wale wanawake yeye anasubiri wanalize show zao, hata wakienda wanaume watatu, ila mwisho yeye ndio analala nao na analipwa....namfahamu kwa kazi hiyo kwa zaidi ya miaka minne
Dah lakini aina makombo ile kituhuyu ndugu, ni kwamba anafanya mapenzi na makahaba na makahaba wanamlipa yeye, wanamnunulia vinywaji, na chakula na shida nyingine za home wanamaliza wao, yeye kazi yake ni moja tuu, anaenda eneo la tukio, akitokea mteja anaondoka na yule mwanamke au wale wanawake yeye anasubiri wanalize show zao, hata wakienda wanaume watatu, ila mwisho yeye ndio analala nao na analipwa....namfahamu kwa kazi hiyo kwa zaidi ya miaka minne
Haha Shunie naona unataka ninyimwe vitu vitamu unavyonipakazia tuSi ile foleni yako jaman unayowakula hivi huwa unajigawaje lakini mshipa
Ha ha ha haHaha Shunie naona unataka ninyimwe vitu vitamu unavyonipakazia tu
Sasa ukinyimwa huku jf shida iko wapi jaman na wakati kuna msururu wako unakusubiri huko uwapige show za kibabeHaha Shunie naona unataka ninyimwe vitu vitamu unavyonipakazia tu
Mzee baba na wewe unatumia nyenzoHaha Shunie naona unataka ninyimwe vitu vitamu unavyonipakazia tu
Haya haya bwana Shunie ungejua tu nilivyo na ugwadu hapa ungenihurumiaSasa ukinyimwa huku jf shida iko wapi jaman na wakati kuna msururu wako unakusubiri huko uwapige show za kibabe
Haha nyenzo gani hizo mkuuMzee baba na wewe unatumia nyenzo
Hivi yule mdau alikuja kuaga humu kwamba anaenda marekani kucheza hizo filamu kwa pesa nzuri hamna mrejesho wake??amisha pata izoefu wa kutosha akaigize porn apate hela apange chumba awe analala kwa amani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] njo basi nikutunuku kimoja tu lakiniHaya haya bwana Shunie ungejua tu nilivyo na ugwadu hapa ungenihurumia
Si kama hiyo Joel inayo muweka mjiniHaha nyenzo gani hizo mkuu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] umenikumbusha yule mkaka jaman kila anachoshauriwa hataki anataka kwendaHivi yule mdau alikuja kuaga humu kwamba anaenda marekani kucheza hizo filamu kwa pesa nzuri hamna mrejesho wake??
Haha kimoja utakuwa umepunguzia mzigo mkubwa japo sio wote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] njo basi nikutunuku kimoja tu lakini
Ngoja awatafune tu maana hakuna namna nyingine.Huyu jamaa anaitwa Joe, yupo jiji la New York marekani,,ni kijana wa mtaani nikimanisha hana sehemu ya kulala, ambaye hua anatumia njia ya kuwatongoza wanawake na kulala nao ili asilale kwenye mitaa..
Joe anakiri anasema ana fanya sex na wanawake 156 kwa mwaka mzima ambao ni wastani wa wanawake 13 kwa mwezi. Joe anakiri kulala na wanawake 3 hadi 4 kwa siku kila usiku ndani ya nyumba za hao wanawake na inapotokea mwanamke ameinjoi gemu sana basi hua analala zaidi ya siku moja kwake(kwa mwanamke).
Au wakati.mwingine inatokea kwa.wiki analala na wadada watatu ambao hutumia kua kwao zaidi ya siku 2 ama 3.
Joe alifukuzwa nyumbani na wazazi wake katika umri mdogo, kwa sasa ana miaka 26, ina mana kama alifukuzwa akiwa na miaka 20 basi tunaweza kusema hadi sasa amekwisha sex na wadada 936.
Anasema anatumia muda mwingi na pesa kidogo anazopata kutoka kwa hao wanawake anaolala nao kwa kujipendezesha,,ili aonekane handsome ili kuwavutia hao wadada.
Hivi ndivyo Joe anavyo survive mjini kwa staili hii ya kulala na wanawake tena visu na wenye pesa zao wengine.
![]()
![]()
![]()
Hapana mkuu mimi papuchi napata kwa shida sana alafu mara moja moja sanaSi kama hiyo Joel inayo muweka mjini
Haya haya bwana Shunie ungejua tu nilivyo na ugwadu hapa ungenihurumia
Kama kwel utakua umeshaharibu tayari utakua umemuongezea ![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] njo basi nikutunuku kimoja tu lakini
Hahaha ni JOE mkuu !Si kama hiyo Joel inayo muweka mjini