BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,345
Huyu jamaa anaitwa Joe, yupo jiji la New York marekani,,ni kijana wa mtaani nikimanisha hana sehemu ya kulala, ambaye hua anatumia njia ya kuwatongoza wanawake na kulala nao ili asilale kwenye mitaa..
Joe anakiri anasema ana fanya sex na wanawake 156 kwa mwaka mzima ambao ni wastani wa wanawake 13 kwa mwezi. Joe anakiri kulala na wanawake 3 hadi 4 kwa siku kila usiku ndani ya nyumba za hao wanawake na inapotokea mwanamke ameinjoi gemu sana basi hua analala zaidi ya siku moja kwake(kwa mwanamke).
Au wakati.mwingine inatokea kwa.wiki analala na wadada watatu ambao hutumia kua kwao zaidi ya siku 2 ama 3.
Joe alifukuzwa nyumbani na wazazi wake katika umri mdogo, kwa sasa ana miaka 26, ina mana kama alifukuzwa akiwa na miaka 20 basi tunaweza kusema hadi sasa amekwisha sex na wadada 936.
Anasema anatumia muda mwingi na pesa kidogo anazopata kutoka kwa hao wanawake anaolala nao kwa kujipendezesha,,ili aonekane handsome ili kuwavutia hao wadada.
Hivi ndivyo Joe anavyo survive mjini kwa staili hii ya kulala na wanawake tena visu na wenye pesa zao wengine.
Joe anakiri anasema ana fanya sex na wanawake 156 kwa mwaka mzima ambao ni wastani wa wanawake 13 kwa mwezi. Joe anakiri kulala na wanawake 3 hadi 4 kwa siku kila usiku ndani ya nyumba za hao wanawake na inapotokea mwanamke ameinjoi gemu sana basi hua analala zaidi ya siku moja kwake(kwa mwanamke).
Au wakati.mwingine inatokea kwa.wiki analala na wadada watatu ambao hutumia kua kwao zaidi ya siku 2 ama 3.
Joe alifukuzwa nyumbani na wazazi wake katika umri mdogo, kwa sasa ana miaka 26, ina mana kama alifukuzwa akiwa na miaka 20 basi tunaweza kusema hadi sasa amekwisha sex na wadada 936.
Anasema anatumia muda mwingi na pesa kidogo anazopata kutoka kwa hao wanawake anaolala nao kwa kujipendezesha,,ili aonekane handsome ili kuwavutia hao wadada.
Hivi ndivyo Joe anavyo survive mjini kwa staili hii ya kulala na wanawake tena visu na wenye pesa zao wengine.