Angalia mwanaume huyu anavyo survive mjini

Angalia mwanaume huyu anavyo survive mjini

hapa hapa bongo wapo na mmoja niko nae hapa, ana mke na watoto wanasoma lakini yeye anajiuza kwa makahaba, yaani mwanamke anaenda kupiga show na wateja yeye anamsubiri akimaliza, mzigo unaoshwa anakabidhiwa yeye mpaka mida ya mchana, jiono anahamia kwingine, kifupi familia yake inaishi kwa pesa zinazotoka kwa makahaba...na wamgombania
Aisee
 
hapa hapa bongo wapo na mmoja niko nae hapa, ana mke na watoto wanasoma lakini yeye anajiuza kwa makahaba, yaani mwanamke anaenda kupiga show na wateja yeye anamsubiri akimaliza, mzigo unaoshwa anakabidhiwa yeye mpaka mida ya mchana, jiono anahamia kwingine, kifupi familia yake inaishi kwa pesa zinazotoka kwa makahaba...na wamgombania
Sijakuelewa fafanua tena mkuu
 
Sijakuelewa fafanua tena mkuu

huyu ndugu, ni kwamba anafanya mapenzi na makahaba na makahaba wanamlipa yeye, wanamnunulia vinywaji, na chakula na shida nyingine za home wanamaliza wao, yeye kazi yake ni moja tuu, anaenda eneo la tukio, akitokea mteja anaondoka na yule mwanamke au wale wanawake yeye anasubiri wanalize show zao, hata wakienda wanaume watatu, ila mwisho yeye ndio analala nao na analipwa....namfahamu kwa kazi hiyo kwa zaidi ya miaka minne
 
Back
Top Bottom