God is dead nianze na hii,
Mleta mada anapoleta hoja ya Mungu yupo, kwenye akili yake anajenga taswira ya mtu mzuri, unazingua mleta mada,
Mleta mada, unaelewa nini ninapozungumza kuhusu utopia, je na wewe ni mmoja wa wale wanaosumbuliwa na ugonjwa wa utopia, kile kilicho kamili, kisicho na kasoro, since man is ideal you might be striving for a perfect man without knowing, and end up calling that perfect man God...
Akili yako inamzungumza Mungu kama mtu aliye kamilika na asiye kasoro, sikulaumu ni neno lenyewe ndio linachangia kukupoteza, siku ukipata nafasi ya kuona neno badala ya mtu nipigie tuongee,
Argument,
Man is ideal,
From your perception
Mungu is a perfect man, you are striving
If Ideal is not real, how is God(Mungu) real..
Mwanafalsafa alipoona nyani hana ustaarabu na kumbukumbu aliamua kuchukua jukumu la kumkabidhi nyani mtu wa kumfanya awe mstaarabu na mwenye kumbukumbu, hatimae yule mtu amekua na sasa anamsumbua nyani,