Habar wakuu?
Duh! Tanzania raha sanaaaaa check naloili ni gazeti jipya, lenye mlengo wa gani sijui, nimeliona leo nikashituka utitili wa magazeti ambayo habari zake sipendwa kwa wapenda mageuzi.
Tulinunue, tulisome naona ndio mbadala wa......
SIKU NJEMA.
Halafu hilo gazeti kama la CCM vile.