angalia heshima ya nchi yako kupitia passport yako!!!

Rebel volcano

JF-Expert Member
Jun 1, 2012
403
86
Hapo vipi??!!
 

Attachments

  • passport 3.jpg
    passport 3.jpg
    49.4 KB · Views: 434
mmh sijui ya kwangu imeandikwaje, ngoja nikafungue kitabu chetu cha adam na hawa

"Hii ni kuwaomba na kuwasihi, kwa Jina la Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, wote wanaohusika, kwa kusudi la kumruhusu mwenye pasipoti hii kupita bila kizuizi ama kipingamizi cho chote na vile vile kumpa msaada na ulinzi wowote ambao utakaoonekana kuwa wa lazima."
 
Katika ukurasa wa mwanzo ya kwetu inasema Inawasihi na kuwaomba kwa jina la Rais wote wanaohusika kumpa mmiliki wake ulinzi kama utaonekana kuwa wa lazima.
 
"Hii ni kuwaomba na kuwasihi, kwa Jina la Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, wote wanaohusika, kwa kusudi la kumruhusu mwenye pasipoti hii kupita bila kizuizi ama kipingamizi cho chote na vile vile kumpa msaada na ulinzi wowote ambao utakaoonekana kuwa wa lazima."

Hapo sasa...this is very subjective
 
Hapo sasa...this is very subjective

Umeona Eee.

Halafu first line starts by begging. Very sad serikali inatufundisha kuomba omba.
Lazima watuvue mkanda, viatu watupangishe mistari na kutuzalilisha kila watakavyo popote tunapokwenda..:mad:
 
Umeona Eee.

Halafu first line starts by begging. Very sad serikali inatufundisha kuomba omba.
Lazima watuvue mkanda, viatu watupangishe mistari na kutuzalilisha kila watakavyo popote tunapokwenda..:mad:


Yaani ilibidi nicheki passport yangu kuthibisha hayo maneno, aiseh ni kweli, yaani sisi kumbe Wa tz kuombaomba ni hulka iliyojikita kwenye mifumo yetu. Hadi kwenye passport tunapenyeza ombi la msaada.
 
Back
Top Bottom