Angalia Angani Muda huu upande wa mangaribi jua linapozama utaona kitu

Telescope si hiyo hapo
 
HII NI FIXING TU HAKUNA SAYARI INA UWEZO WA KUZALISHA MWANGA UTAKAOSAFIRI UMBALI WA KUFIKA DUNIANI.
 
Kwa hio walimu walitudanganya kuwa Jupiter ni kubwa kuliko sayari Zote??!!
 
Kuna sayari tatu ambazo bado zinaonekana kwa macho.. Mars (south west), jupiter (above) na venus (north east). Zote hizo zinaonekana vizuri tu hata kwa macho.. Huyo jupiter ukiwa telescope unaweza kuona hadi hizo rings zake na moons zinazoizunguka..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…