SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,432
- 23,754
- Thread starter
- #1,021
I do coz I love to. Ts my passion.Kwa maana alphonce kapatikana.
Pamoja sana mkuu, kazi imesimama.
Indeed you're doing art for the sake of an art.
I do coz I love to. Ts my passion.Kwa maana alphonce kapatikana.
Pamoja sana mkuu, kazi imesimama.
Indeed you're doing art for the sake of an art.
Santeee tivu
kwa utamu huu pm lazima ikuhusuMtanitoa jaman roho! Mpaka na PM.
Dah nilitaka kuandika shunie nikajikuta nimeandika shemShem wako mie au tumosa koncho
nakuona mpendwa wa binamuSteling hauwawi itakuwa alivaa burret proof
Hili lijitu lieliakimu fyuuumbaaafyuuu kabisaa halina hata shukrani
Na bora lilivyouliwa na lenyewe
Duh eti 'kwa utamu'kwa utamu huu pm lazima ikuhusu
Hapo sawaDah nilitaka kuandika shunie nikajikuta nimeandika shem
ShemelaMarahaba shem
ITAPENDEZA KAMA UKIIRUDISHA ILE AVATAR BINTI KASHIKILIA KINYWAJI MKONONI HALAFU KAKAA KWENYE KITI.Hapo sawa
Shem wako mie au tumosa koncho
Naitika japo kishingoupande.Shemela
Hahahaaa unafikiri utamu upi kwaniDuh eti 'kwa utamu'
Ile avatar mnaipendea nini nyie wanaumeITAPENDEZA KAMA UKIIRUDISHA ILE AVATAR BINTI KASHIKILIA KINYWAJI MKONONI HALAFU KAKAA KWENYE KITI.
inyooshe tu shingo uitkie vizuriNaitika japo kishingoupande.
Kumbe na wengine wanaipenda?Ile avatar mnaipendea nini nyie wanaume