greybakuza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 897
- 1,271
Anga la washenzi, simulizi bora kabisa kwangu.
Nimeamua kuweka zote.unazingua tupia mojamoja mpk iishe anga la washenzi kwanza,hiyo nyengine mpk iishe hii si vizuri kuchanganya ugari na wali
Tatizo sio kuamua tu! bali ni kuamua vyema.
Hivyo ndivyo ulitakiwa uongee, kistaarabu tu na mtu anakuelewa. Nashukuru, niliona usumbufu kufungua threads mbili kwa wakti mmoja.Tatizo sio kuamua tu! bali ni kuamua vyema.
sidhani kama ni vyema hivyo ulivyofanya,kwanza kutakuwa na mkanganyiko kwa wale tunaotaka story moja na inaleta usumbufu kuview maana mtu unakuwa unatafuta wee.. pia inaweza katisha mtu tamaa ya kusoma hivyo kukatisha!
vyema kitu kimoja chenye mtiririko mmoja itapendeza zaidi.
Nakuomba fungua sredi nyungine ili kila story ijitegemeeHivyo ndivyo ulitakiwa uongee, kistaarabu tu na mtu anakuelewa. Nashukuru, niliona usumbufu kufungua threads mbili kwa wakti mmoja.
nimeamua kuisoma moja tu ili zisinichanganye - anga la washenzi 'iko poa'Hivyo ndivyo ulitakiwa uongee, kistaarabu tu na mtu anakuelewa. Nashukuru, niliona usumbufu kufungua threads mbili kwa wakti mmoja.
Wewe wa kutoniita mie jomoni
Nipo mkuu za weweShunie Mambo Vp Dada Upo
Jomoni ujue najua hizi mambo za story na we tofauti nitakuwa nakuita mpaka uchokeWewe wa kutoniita mie jomoni
Za mm niko poa. Naona Tivuuu yupo kwenye ubora wakeNipo mkuu za wewe
Tivuu kwenye ubora wake ule ule wa siku zoteZa mm niko poa. Naona Tivuuu yupo kwenye ubora wake
Nilizani katupiaTivuu kwenye ubora wake ule ule wa siku zote
Leo atatupia lazimaNilizani katupia
Leo atatupia lazima