Android mega thread; Maswali, Tips and Tricks, Kila kitu kuhusu android

Android mega thread; Maswali, Tips and Tricks, Kila kitu kuhusu android

Mkuu. Nina iphone napata shida kudownload ios 7.1 nisaidie niweze kuipata


Sent from my finger tips using JamiiForums mobile a
 
Hii siyo halisi! Nikisearch video inaleta kwa youtube alafu hamna option ya kudownload.

angalia na browser unayotumia ku google, simple way tumia opera min browser dk 5 ni nyingi utaipata.
 
Ikizingua kabisaaaaa, tupia App inaitwa mobogiene nayo inadownlod video za youtube nk mkuu...
 
Mimi mgonjwa wa Subway Suffers ila hapa nimepata application zingine usefull

Mimi pia highest score yako ngapiiiii na multiplier pia...mi Leo nimefika multiplier ya 30 na score ni milioni laki mbili
 
Mkuu Hans hii mobogiene ni kitu gani, mi huwa naiona inafanana na kirusi, huwa naifuta haraka sana!

hapana mobogiene sio kirusi bali ni App ambayo nayo ni kama play store. Ndani yake utapata App za kutosha, wallpapers, games, na youtube video ktk ubora mzuri tu.
Na ukipata utajuta kuchelewa kuipata coz ipo vizuri sana.
 
hapana mobogiene sio kirusi bali ni App ambayo nayo ni kama play store. Ndani yake utapata App za kutosha, wallpapers, games, na youtube video ktk ubora mzuri tu.
Na ukipata utajuta kuchelewa kuipata coz ipo vizuri sana.

Hii app haipatikani play store kwa hiyo ili ni-install inabidi niende kwenye settings niruhusu app nje ya play store, sasa hii si inaweza kuwa ndio nimefungua mlango kwenye suala zima la security, unaionaje hii mkuu, kuna usalama hapa?
 
Hii app haipatikani play store kwa hiyo ili ni-install inabidi niende kwenye settings niruhusu app nje ya play store, sasa hii si inaweza kuwa ndio nimefungua mlango kwenye suala zima la security, unaionaje hii mkuu, kuna usalama hapa?

mimi sidhani kama hii App inamadhara ktk simu yako. Kama una wasi wasi sana hakisha una anti virus imara. Au icheki hiyo tubemate kupitia browser ya operamini utaipata original.
 
wakuu nahitaji application itakayoniwezesha kudownload lyrics za nyimbo mbalimbali.
 
wakuu nahitaji application itakayoniwezesha kudownload lyrics za nyimbo mbalimbali.

kudownload lyrics!! Am not sure kama kuna App ila web zipo Nyingi tu. Just google tu... Ila za wa bongo nadhani ktk nyimbo 100 utapata lyrics ya nyimbo moja.
 
Mkuu Hans pol,mi simu yangu ni nokia x nimeweka app ya whatsapp lakin kila mara inaniambia kifaa changu hakisapoti hiyo app hapa sijui nifanyeje mkuu?

Harafu pia simu yangu inakuwa haina uwezo wa kucheza video za mtandaoni ikiwemo youtube inaload tu muda wote bila matokeo yoyote hapo napo nifanyeje mkuu?
 
Mkuu Hans pol,mi simu yangu ni nokia x nimeweka app ya whatsapp lakin kila mara inaniambia kifaa changu hakisapoti hiyo app hapa sijui nifanyeje mkuu?

Harafu pia simu yangu inakuwa haina uwezo wa kucheza video za mtandaoni ikiwemo youtube inaload tu muda wote bila matokeo yoyote hapo napo nifanyeje mkuu?

Hiyo nokia X, hizi za android?
Kuhusu kuplay youtube video itategemea na internet ya eneo ulipo.
 
Guys nimefunga GPS ktk simu lakini bado inarun nifanyejeee
 
Naombeni msaada wa app ambayo itaweza ku save wifi password baada ya kuwekwa kwa mara ya kwanza. Yaani baadae nikitaka kujua ile password iliyowekwa pale niijue.... Plz
 
Back
Top Bottom