Wa nyamadyaki
JF-Expert Member
- Mar 6, 2013
- 1,178
- 529
Application gain nzuri ya kublock simu tena iwe ile ya MTU akikupigia imwambie haipatikatini na so inatumika.
Application gain nzuri ya kublock simu tena iwe ile ya MTU akikupigia imwambie haipatikatini na so inatumika.
List ya hizi application safi kabisa. Ndizo nilizokuwa nazo kwenye simu yangu. Hapa sikuwa na Go SMS tuu. Ndio nimedownload sasa hivi
Nani anaejua ku update hizi samsung galaxy korean version maana zinanitoa jasho asee
kies inasema hakuna update kwa ajili ya model hiyo, ila kwenye net zipo na hata xda zipo na nimeshazidownload nataka ku upgrade kwa kutumia odinunamaanisha hizi OTA upgrade au?
Maana kuna mda zinachomoaga ila nafikiri Samsung Kies inaweza kusolve
kies inasema hakuna update kwa ajili ya model hiyo, ila kwenye net zipo na hata xda zipo na nimeshazidownload nataka ku upgrade kwa kutumia odin
kwanza nimeweka cwm recovery ila haionekani (nimeshindwa kuiweka in download mode) menu yake ni ya kikorea
1. Bonyeza Home key + Volume down + Power key vyote kwa pamoja usiachie hadi yatokee haya maandishi ya Kikoreashv-e160k japo nahisi zote s/l/k procedure ni moja
Wakuu nimejaribu kupitia page ya 1 hadi ya 4 naona giza tu hata sielewi kitu japo ni mjuzi wa haya masmartphones,
BTW: Nataka ninue Nokia X nimeambiwa sijui ina Apps za Android, so naomba mnijuze kama hii simu ni nzuri au biashara tu?
mi my dream app android ni adobe photoshop nashangaa why watu hawaitaji
Then nyengine ni freemoneyfactory na appredeem hizi unadownload apps then kila apps average unapata 0.25 usd kwa app 4 unapata dola 1 then unazitoa kama amazon gift card au kwa paypal ya mipango.
wakuu kuna mchina android copy ya s3 ttzo patern ilisumbua baada ikagoma kbs ukiwasha inataka email na mie sina mana nimeuziwa naweza kuifua kweli!
True. Ila mie sijanotice hilo. Maybe kwa sababu nimeblock ads from google. Na nimenotice hilo kuwa ina lag mostly.