kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 1,996
- 5,054
- Thread starter
- #61
Mnashindwa kuelewa hoja yangu na kuanza vijembe visivyo na maana,Kwa hiyo wewe ndio umeona pros and cons za ku allow developer mode kuliko wataalamu wooooote wa NMB. Aisee Kwamba Bank waliweka hiyo feature bila kujua kwamba haina faida
Ndo maana hata mwanzo kabisa sikutaka hata kukuonyesha kazi zangu sababu una akili fln mgando hivi. Asingekua user mmoja kukuwekea hapa nisingeendeleza hii debate na wewe sababu tuka mwanzo nmeshakuona upeo wako mdg sana