Andrew Chenge: Kwangu gamba limeishia kiunoni tu

Andrew Chenge: Kwangu gamba limeishia kiunoni tu

Hakuna cha Septemba wala nini. CCM hawawezi kuitisha NEC kwa sasa, hadi uchaguzi mdogo wa Igunga utakapomalizika. Wanamuogopa Lowassa atawavuruga.

Haki ya nani, NEC itafanyika panapo maajaliwa.
 
hilo sio gamba alikuwa na maana ya hirizi kiunoni akaona apotoshe ukweli
 
Jeuri na kiburi cha chenge,.............nani alaumiwe?
<br Alaumiwe kikwete kwakuweka ufisadi kipao mbele na akitaka magamba yaishe ccm aanze kujivua mwenyewe kwanza
 
Maneno ya chenge yanaendana na jina lake. Kule kwao gamboshi bariadi itafsiri ya neno 'chenge' ni kijinga cha moto watumiacho wachawi usiku kuwatisha wasio wachawi. Niliwahi kuwa mchawi nikaokoka. Huyu anahitaji maombi ya kufa mtu. Ana kiburi cha uchawi, hivi camera za bunge siziliona kivuli cha chenge kweli au ulikuwa mfano wake tu. Ila kama zilimuona basi uchawi wake sasa unaisha nguvu ndo maana ameanza kuropoka nadhani anahitaji maombi kidogo tu auvae mkenge wala si ya nguvu kama nilivyotangulia kusema
 
kila nikisoma michango ya huyu william nashindwa kutofautisha na kinyesi.<br />
This Again is KINYESI.
<br />
<br />
Sio kinyesi anaandika mambo ambayo yapo na yalitokea sema wewe wataka ktmtetea JK
 
CCM Mnalo mlifikiri sera ya gamba itawarudisha kwenye chati ila ndo mmnazidi didimia kama uchumi wa TANZANIA na huu ndo mwisho wenu
 
kila nikisoma michango ya huyu william nashindwa kutofautisha na kinyesi.
This Again is KINYESI.

Wewe umepofushwa na rushwa ya mafisadi hivyo baya utaliona zuri ili mradi limetoka kwa mabosi wako mafisadi papa, na zuri utaliona baya. Mko wengi nyie wala hamtupi taabu kwani nyie ni misukule inayolipwa na Nape kutetea magamba.
 

Wewe mzima kweli, mbona akitajwa JK tu unakimbilia kinyesi,au ndiyo nyie vijana wa Mataka?Shauri yako, siyo freshi mtoto wa kiume kushobokea wanaume wenzako hivyo,au wewe ni jinsia tofauti na nilivyokuchukulia?
 
Mmoja wa wanaotakiwa na CCM kujivua gamba (kuondoka ndani ya chama) kwa madai ya ufisadi amelieleza mwanahalisi kuwa "kwangu gamba limeishia kiunoni,kuliondoa hapa lilipo sharti uje na shoka"Chenge alikuwa akijibu swali la mwandishi wa gazeti la mwanahalisi lililotaka kufahamu ni lini ataondoka katika uongozi wa chama chake kutokana na kutuhumiwa na ufisadi.

Nape Upo hapo?

hahahahahahahahahahahahahahahahaha. Jamani Nyerere angekuwepo ayashuhudie haya. kifo hiki kwa nini hakina huruma. hahahahahahahahahahah. Majibu ya Chenge hayana chenga anajibu kama vile anajibu hawara yake.
 
Huyu anakiburi cha Sheria na analindwa na JK, kwa sababu JK alimtumia katika kumng'oa SITTA kwenye kiti cha usipika, ndiyo maana CCM na serikali wanamtetea kuwa siyo FISADI. Lakini Mkuu 40ID nakuhakikishia kwamba huyu mzee wa vijisenti kiboko yake ni makamanda wa CDM tu ndiyo wenyeuwezo wa kumng'oa, ngoja tusubiri uchaguzi Bariadi. Safari hii hatukufanikiwa yawezekana hatukuweka mgombea.
Hiyo ni jeuri ya wana magamba, kazi kweikwei hangoki mtu hapo wanangoka woote!!!!!!!!!
 
kila nikisoma michango ya huyu william nashindwa kutofautisha na kinyesi.
This Again is KINYESI.
Wewe ni wale wale chap chap vua gamba pia au JF itakuanika wazi, hapo umekaa pabaya chunga utangolewa pia!!!!!!!!!
 
jeuri dawa yake ni kiburi. Na dawa ya mabishoo ni kuwa bishoo zaidi yao
 
Hakuna kitu hawana lolote september watasema hadi january tena. Hongera gamba kiuno komaaaaa wasikuzingue
<br />
<br />
Safi chenge toka tanu upo watoto wa juzi wakueleze nini hawa achana nao
 
Kambi ya upinzani ndani ya ccm, ilio pinga bei ya mafuta ya taa, itumike kumng'oa huyu jamaa pengine ita weza.
 
Ule unga alioumwaga Bunge lililopita Hakuumwaga Kwenye kwenye vikao vya Nec na CC? huyu huwa hafuatwi hivi hivi wawe waangalifu
 
Kwa mujibu wa gazeti la mwanahalisi la last week chenge amesema "kwangu gamba limeishia kiunoni, kuliondoa hapa lilipo sharti uje na shoka.” ukiangalia kwa undani kauli hii inaashilia muanguko mkuu tuutegemee September>

kwa mtazamo wako wewe waonaje?
 
Back
Top Bottom