Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,447
- 5,301
Kwamba kitu ukisema 'Never' ndo km kinakufanyia kusudi kinakugeukia!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli nini mkuu.!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli nini mkuu.!?
Kula chakulaNi kitu gani ukikifanya huwa unapata raha?
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
Basi huwa napata raha kama unayopata wewe ukila chakula.
Nimekuuliza una umri gani unajibu yeah
Hee, vitendo tenaa, sawa basi siku ukiwa unafanya hivo niite nishuhudie😀😀 kaoneeeKuielezea ni ngumu mnooo...labda kwa vitendoo😋😋🤣
Vipi kwa afya ikoje?Basi huwa napata raha kama unayopata wewe ukila chakula.
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
Nimekuuliza una umri gani unajibu yeah
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
Ni nzuri tu inapunguza mafuta mwilini, wavutaji wengi wanakuwa wakavu (hawana mafuta mengi mwilini)
French. Hongera. Ila unaonekana hupendi kuwa karibu na mvutaji!
Sasa unaniuliza na kiitaliano hicho sijui kidude gani
Mimi Nina 34
Sent using Jamii Forums mobile app
Madhara yake ni yapi?Ni nzuri tu inapunguza mafuta mwilini, wavutaji wengi wanakuwa wakavu (hawana mafuta mengi mwilini)
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
Sasa mkuu kiingereza tu sijui..hicho kifaransa nitakijulia wapi mie.French. Hongera. Ila unaonekana hupendi kuwa karibu na mvutaji!
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
Usipokula vizuri waweza pata madhara ya kiakili
Wewe unakula ngapi kwa siku?Usipokula vizuri waweza pata madhara ya kiakili
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
AiseeKama nyongo 4 tu kwa siku, sio nyingi tena ndio nimepunguza hapo.
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹