Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,686
- 106,811
Firstly I would like to apologise to all men in this platform for going rogue to our Gents rule which is "Never kiss and tell". I think I have to tell this tale to y'all coz you might get something Worth.
Well, I met this perfidious malcontent in earl last year, it wasn't a first time to see her... She's my neighbor from 3 blocks away but kutokana na mazingira ya eneo hili unaweza kuishi hata 3yrs majirani msijuane mnapishana tu barabarani. So she was walking that day and i met her.
Akaniuliza kama nilikua nimetoka kufanya mazoezi (Hua wanafanya) mimi nikajibu ndio nimetoka akasema nimpe namba yagu siku nikitaka kwenda nimshitue tue tunaenda nae. Agreed!
Tukawa tunachat chat tu kawaida ili kufahamiana...Kama kawaida law of Magnetism "Unlike pole attract each other" tukawa tunapiga stori za mambo hayo ya jinsia tofauti.
After some days Tukapanga muda na siku ya kuenjoy maisha mwenyewe ananisisitiza kua niwahi. Kutokana na alivyojiweka na umri wake sikudhani kama anaweza kuzingua (She's 4yrs older than me) Cha ajabu muda tuliopanga 18:00Pm ukapita bila hata yeye kutoke na simu wala sms hapokei...Nilichukia manusra kupasuka!!😔😩
Katika maisha yangu hakuna kitu sipendi na ukinifanyia kamwe siwezi kukusamehe kama kunidanganya..I don't know but yaani ukinidanganya hata kwa kunitania siwezi kua karibu nawe hata kama upo vipi sitakuheshimu tena.. That's me, I'm so succumbed with truth and I can't hep about it.
So huyu dada alivyoniongopea siku hiyo sikutaka mabishano nilifuta namba yake na kila kitu about her! Nikafanya kama sijawah kufahamiana nae...Siku moja nakutana nae barabarani natembea akafanya kama anataka kunigonga halafu akachekaa...ndio nikazidi kumchukia.
Siku ya siku nikaona sms ananisalimu, nikachat nae kawaida kama hakuna kilichotokea Mwenyewe akawa anauhitaji...akaniambia nijiandae saa 18:00 twende somewhere akanirefund for my trouble of that day. Tukakubaliana location Levolosi tukawa tunasubiri mida tu huku tunachats 🙊🙈
Muda ukawaidia sasa kama kawaida ukinidanganya sikusamehi kamwe nikapanga nimpige tukio gani akome uswahili...nikaona nimlipizie alichofanya. Kajiandaa kamaliza akatoka nje ananisubiria mimi sikutoka ndani! Nikawa namchungulia kwenye geti namuona ananiangaza mimi nikarudi zangu ndani akabaki na hamu zake.. nilifurahi sana kumkoamoa.. nikitaka aone kile alichotaka kunipatia it's not a big deal to me! Naweza kuipata kwa mwanamke yoyote nitakayemuelewa Na siendeshwi kwa hisia I only se*+ when I want.
[Sms zake hizo siku hiyo]
After two days nikashuka zangu dar nikafuta no yake!
This week nimerudi mtaani nikakutana nae tena akanilaumu kuhusu nilichomfanyia last year.... Nikameambia nitakuchek mida. Nikatafuta no yake kwenyw contact backups nikaipata nikamcheki. Tukachat tukapangana irudiwe...This time akasema niende anapokaa. Kwakua sio uswahilini nikaenda...Nikawawakilisha 🙈🙈
[Juzi deal done]
Baada ya hapo naona hakauki kunitext namm hata sina shida nae maana alinidanganya and that is a thing I can't forgive!
Mwenyewe Naona kanogewa ila mimi hapana Liars and lies will be my last thing to deal with..
For mens...hawa wenzetu wanapenda watu wenye maamuzi ya kikatili ukimbembeleza anakuona mjinga na utakoma kwanini umemuachia nafasi ajue unamuelewa zaidi. Usimuonee huruma mwanamke kwenye maamuzi wanapenda masculinity. Ukimbembeleza anaona wewe shost yake.
So I take this as absolutely Win
-C. Cole
Well, I met this perfidious malcontent in earl last year, it wasn't a first time to see her... She's my neighbor from 3 blocks away but kutokana na mazingira ya eneo hili unaweza kuishi hata 3yrs majirani msijuane mnapishana tu barabarani. So she was walking that day and i met her.
Akaniuliza kama nilikua nimetoka kufanya mazoezi (Hua wanafanya) mimi nikajibu ndio nimetoka akasema nimpe namba yagu siku nikitaka kwenda nimshitue tue tunaenda nae. Agreed!
Tukawa tunachat chat tu kawaida ili kufahamiana...Kama kawaida law of Magnetism "Unlike pole attract each other" tukawa tunapiga stori za mambo hayo ya jinsia tofauti.
After some days Tukapanga muda na siku ya kuenjoy maisha mwenyewe ananisisitiza kua niwahi. Kutokana na alivyojiweka na umri wake sikudhani kama anaweza kuzingua (She's 4yrs older than me) Cha ajabu muda tuliopanga 18:00Pm ukapita bila hata yeye kutoke na simu wala sms hapokei...Nilichukia manusra kupasuka!!😔😩
Katika maisha yangu hakuna kitu sipendi na ukinifanyia kamwe siwezi kukusamehe kama kunidanganya..I don't know but yaani ukinidanganya hata kwa kunitania siwezi kua karibu nawe hata kama upo vipi sitakuheshimu tena.. That's me, I'm so succumbed with truth and I can't hep about it.
So huyu dada alivyoniongopea siku hiyo sikutaka mabishano nilifuta namba yake na kila kitu about her! Nikafanya kama sijawah kufahamiana nae...Siku moja nakutana nae barabarani natembea akafanya kama anataka kunigonga halafu akachekaa...ndio nikazidi kumchukia.
Siku ya siku nikaona sms ananisalimu, nikachat nae kawaida kama hakuna kilichotokea Mwenyewe akawa anauhitaji...akaniambia nijiandae saa 18:00 twende somewhere akanirefund for my trouble of that day. Tukakubaliana location Levolosi tukawa tunasubiri mida tu huku tunachats 🙊🙈
Muda ukawaidia sasa kama kawaida ukinidanganya sikusamehi kamwe nikapanga nimpige tukio gani akome uswahili...nikaona nimlipizie alichofanya. Kajiandaa kamaliza akatoka nje ananisubiria mimi sikutoka ndani! Nikawa namchungulia kwenye geti namuona ananiangaza mimi nikarudi zangu ndani akabaki na hamu zake.. nilifurahi sana kumkoamoa.. nikitaka aone kile alichotaka kunipatia it's not a big deal to me! Naweza kuipata kwa mwanamke yoyote nitakayemuelewa Na siendeshwi kwa hisia I only se*+ when I want.
[Sms zake hizo siku hiyo]
After two days nikashuka zangu dar nikafuta no yake!
This week nimerudi mtaani nikakutana nae tena akanilaumu kuhusu nilichomfanyia last year.... Nikameambia nitakuchek mida. Nikatafuta no yake kwenyw contact backups nikaipata nikamcheki. Tukachat tukapangana irudiwe...This time akasema niende anapokaa. Kwakua sio uswahilini nikaenda...Nikawawakilisha 🙈🙈
[Juzi deal done]
Baada ya hapo naona hakauki kunitext namm hata sina shida nae maana alinidanganya and that is a thing I can't forgive!
Mwenyewe Naona kanogewa ila mimi hapana Liars and lies will be my last thing to deal with..
For mens...hawa wenzetu wanapenda watu wenye maamuzi ya kikatili ukimbembeleza anakuona mjinga na utakoma kwanini umemuachia nafasi ajue unamuelewa zaidi. Usimuonee huruma mwanamke kwenye maamuzi wanapenda masculinity. Ukimbembeleza anaona wewe shost yake.
So I take this as absolutely Win
-C. Cole