Vera ginger
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,456
- 1,868
Kukiwa na gesi nyumbani,nikilala usiku napata hofu naona kama italipuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kashatoa brideprice lakini
Au mna co- habit tu?
HahahahahahaKukiwa na gesi nyumbani,nikilala usiku napata hofu naona kama italipuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata nikikufariji huo ndio ukweli dear..
Dunia haina huruma naweza kufia njiani katika safari ya kuelekea ukubwani ..kabla hata sijafaidi hayo wanayo yafaidi wakubwa
Tukisali kwa imani mambo yatabadilika hatutakufa ama?Hata nikikufariji huo ndio ukweli dear..
That's your final destination
Tusali kwa imani jamani maisha haya ni ubatili mtupu
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Nikifikiria kuto,,,kulivyo kutamu halaf eti ndio hivyo naumia sanaDunia haina huruma naweza kufia njiani katika safari ya kuelekea ukubwani ..kabla hata sijafaidi hayo wanayo yafaidi wakubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupata neema na Rehema mbele ya muumba (kama unaamini ) But death is our point of no options, It's our pathway to reach there.. it's our Destination
Ngoja niwajulishe wazee wamlime barua ya fine.
Kunini kutamu???Nikifikiria kuto,,,kulivyo kutamu halaf eti ndio hivyo naumia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Usifanye hivyo jirani atasusaNgoja niwajulishe wazee wamlime barua ya fine.
Kunini kutamu???
Hatuwez kuwa na mkwe mjanja mjanja. Type hiyo hawakawii kukuacha kwenye mataa