Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
kiwatengu mkalimani niko hapa.........uwezo wangu wa lugha umeshuka sana..so sijakuelewa mpendwa
Last edited by a moderator:
kiwatengu mkalimani niko hapa.........uwezo wangu wa lugha umeshuka sana..so sijakuelewa mpendwa
Cantalisia habari yako.......mbona huonekani jamaniMhhh! hapa kuna miss world wa Filipo hapo hapo kuna ndoa ya figganigga na Heaven on earth humo humo Vin Diesel kafumania duh!
leo baada ya ibada kulikuwepo na operasheni takasika na kuvunja ngome za shetani ikiwemo kuombea wagonjwa ndo maana nikachelewa. love you babe...only you honey....mmwaaaa.....!!!. mia
Ndoa za hivyo ni strictly prohibited humu ndani!!!!
cc Baba V
kweli aisee. ngoja tuwe wapole coz Baba V hakawii kugaili. mia
kumbe? Basi Heaven on earth chagua moja! Mwingine fanya kisadolini
Hapo kwenye uchaguzi ndio nahisi kufa kufa wii
figganigga mie mzima kbs,nashukuru kwa utambulisho huu wa wifi yangu Heaven on earth na maamuzi ya busara mliyochikua mie nawapatia baraka zangu zote!mambo mkuu. Heaven on earth nlishakutambulisha kwamba ni wifi yako. tunataka kufunga ndoa tusije pata mtoto wa nje ya ndoa coz hatuvai socks so nikaona bora tufunge ndoa sababu kila mmoja anamfikisha mwenzie vizuri tu kunako 6 kwa 6. huyo Vin Diesel ni mchawi anataka eti kumchezea tu heaven on earth na anatumia nguvu yake kuhakikisha anavunja uhusiano wetu. but mimi na heaven tunampuuza tu. nimemwambia bora amrudie mwanampwapwa wake lol...hahahahaaa...!!!. mia
Babe mbona watoa siri zetu za ndani kwa Cantalisia jamani.......
figganigga mie mzima kbs,nashukuru kwa utambulisho huu wa wifi yangu Heaven on earth na maamuzi ya busara mliyochikua mie nawapatia baraka zangu zote!
Nashukuru kwa kuwa mwelewa.........
nakupenda jana leo na kesho.............
Babe mbona watoa siri zetu za ndani kwa Cantalisia jamani.......