Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,348
- 26,144
Kuna wa kutupoteza maboya Mawakili Wasomi? Tujue kwanza vyema ndipo useme
Kuna wa kutupoteza maboya Mawakili Wasomi? Tujue kwanza vyema ndipo useme
Ondoa shaka Mkuu. Utapata kila kitu hapahapaSisi wananchi wa kawaida tunaofurahia na kuona ukomavu katika vyama kama hivi tunasubiria 6 April mapema tu
Mkuu hizi siyo kampeni kweli hizi? Au zimeanza? Ila hata mimi ngekuwa Mwanasheria huyo jamaa ningemla kichwa, alichemka sana wakati ule Lissu anagombea! Huyu yuko upande wa chama hatawafaa!!Mkuu,nakuhakikishia kuwa Wakili Msomi Wasonga hawezi kuwa Rais wa TLS. Historia yake, wakati ule Lissu akigombea,inamkwamisha na kumwangusha. Aprili tunakwenda Arusha kumkataa tena. Hawezi kutuzuga kwa kukosoa Katiba!
So full of yourselves as always! Chama chenu kina nini kikubwa?Ha haha, eti Leo anakuja na gia kuwa anamkubali Lissu? Anadhani chama cha mawakili ni sawa na cha waalimu au Chama cha mapinduzi kwamba waweza kuwadanganya Kwa mgongo wa chupa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana amegundua ukiwa mfuasi wa Lisu unapewa Uraisi kilaini sana. Ha ha.Mkuu,nakuhakikishia kuwa Wakili Msomi Wasonga hawezi kuwa Rais wa TLS. Historia yake, wakati ule Lissu akigombea,inamkwamisha na kumwangusha. Aprili tunakwenda Arusha kumkataa tena. Hawezi kutuzuga kwa kukosoa Katiba!
Tukumbushana MkuuMkuu,nakuhakikishia kuwa Wakili Msomi Wasonga hawezi kuwa Rais wa TLS. Historia yake, wakati ule Lissu akigombea,inamkwamisha na kumwangusha. Aprili tunakwenda Arusha kumkataa tena. Hawezi kutuzuga kwa kukosoa Katiba!
Hivyo hivyo, unavyokiona Dola inatamani ikishike iweke Mtu wake. Usikichukulie poa.So full of yourselves as always! Chama chenu kina nini kikubwa?
Serikali inaweka watu wake kila mahali, TLS is no exceptionHivyo hivyo, unavyokiona Dola inatamani ikishike iweke Mtu wake. Usikichukulie poa.
Sent using Jamii Forums mobile app
True 100%Serikali inaweka watu wake kila mahali, TLS is no exception
Imekaa vizuri sanaHatuwezi kuzungumzia demokrasia kama Katiba ina upungufu ndani yake, lazima sisi wanasheria tuzungumze na kukubaliana na wasomi, wanazuoni na jamii kwa nia njema ya kupata kitu kizuri,” amesema Wasonga.
Historia yake ikoje? Hebu weka muhtasari hapa!Mkuu,nakuhakikishia kuwa Wakili Msomi Wasonga hawezi kuwa Rais wa TLS. Historia yake, wakati ule Lissu akigombea,inamkwamisha na kumwangusha. Aprili tunakwenda Arusha kumkataa tena. Hawezi kutuzuga kwa kukosoa Katiba!
BAK unamjua huyu jamaa vizuri. Huyu ni CCM damuAnayewania kumrithi Fatma Karume TLS aikosoa Katiba
Dodoma. Uchaguzi wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) unatarajia kufanyika Aprili 6, 2019 Jijini Arusha, lakini mgombea wa nafasi ya urais, Godfrey Wasonga ameitaja Katiba ya Tanzania kuwa bado ina upungufu
![]()
BY Habel Chidawali, Mwananchi hchidawali@mwananchi.co.tz
IN SUMMARY
- Wakili Godfrey Wasonga amejitosa kugombea nafasi ya urais wa TLS lakini ameutaja uongozi wa Tundu Lissu kwamba ulikuwa wa muda mfupi lakini ulikuwa na manufaa sana. Ameitaja Katiba ya Tanzania kuwa ina upungufu
Dodoma. Uchaguzi wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) unatarajia kufanyika Aprili 6, 2019 Jijini Arusha, lakini mgombea wa nafasi ya urais, Godfrey Wasonga ameitaja Katiba ya Tanzania kuwa bado ina upungufu
Soma zaidi: Mambo matatu anayojivunia Fatma TLS
Wasonga ambaye anagombea kwa mara ya tatu sasa akiwania kumrithi Wakili Fatma Karume, amesema akipata nafasi ya kuongoza mawakili, ajenda yake kubwa itakuwa ni kufanya ushawishi kwa viongozi ili Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ifanyiwe mabadiliko.
“Hatuwezi kuzungumzia demokrasia kama Katiba ina upungufu ndani yake, lazima sisi wanasheria tuzungumze na kukubaliana na wasomi, wanazuoni na jamii kwa nia njema ya kupata kitu kizuri,” amesema Wasonga.
Mgombea huyo pia amemmwagia sifa Tundu Lissu akisema kuwa aliongoza na kuifanyia marekebisho makubwa TLS na kuongeza kuwa kama Lissu angepewa nafasi hiyo kwa muda zaidi huenda wangekuwa mbali zaidi.
Wakili huyo amesema kuwa uongozi wa Lissu aliyeshika nafasi hiyo kabla ya Fatma, unatakiwa kufuatwa na viongozi wanaoingia ndani ya TLS na kuboresha zaidi ndipo watafikia mafanikio.
Soma zaidi: Sita wawania kumrithi Fatma Karume TLS
“Lissu alituongoza vizuri sana, mimi nakubali uongozi wake isipokuwa tunatofautiana kwenye matusi na kejeli zake ndani ya Serikali, lakini lazima tukubali kuwa jamaa alifanya kazi nzuri sana yenye mfano wa kuigwa,” amesema.
Wasonga pia amesema kwamba akishinda na kuwa Rais wa TLS atakifanya chama hicho kuwa cha uwekezaji kwenye ardhi na atahamisha mikutano ambayo kila wakati inafanyikia Arusha ili kupeleka mikoani ambako gharama zitakuwa ndogo.
Soma zaidi: Lissu atumikia urais TLS kwa miezi sita tu, kuondoka Aprili
Kapige kura mkuu,Mkuu,nakuhakikishia kuwa Wakili Msomi Wasonga hawezi kuwa Rais wa TLS. Historia yake, wakati ule Lissu akigombea,inamkwamisha na kumwangusha. Aprili tunakwenda Arusha kumkataa tena. Hawezi kutuzuga kwa kukosoa Katiba!
Shida sio uccm wake ,shida ni usaliti kwa wenzake