Janken jr
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,125
- 1,184
kazi ipo kweli,kazi zao za kila siku za uwakili msingi wake unategea uwepo wa katiba bora iso na mapungufu au inayokinzana.katiba ndie mama wa sheria zote .Kumbe TLS ni ya wanachama wa TLS wenyewe.
Je uyo aliyejinadi kuhusu katiba ya Tanzania,kwanini asijinadi kuelezea katiba ya TLS kama kama inahitaji amendment?
Sent using Jamii Forums mobile app