johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
Chawa ndio watahangaika na ama ule wanaoita Uropokaji wa Tundu Lisu ama u much know wake lakini katika dunia ya Leadership hivyo ni vitu vidogo sana
Wanaomshambulia Tundu Lisu wanapiga Vita Kibali alichonacho kwa sababu Werevu wa dunia hii huiangalia zaidi kesho yao na siyo Jana
Ninajua Lisu siyo aina ya Kiongozi ambaye hata Trump au Putin angetamani kufanya naye Kazi lakini hiyo haiondoi Ukweli kwamba Tundu Lisu ana KIBALI
Ahsanteni sana 🙏✔️
Wanaomshambulia Tundu Lisu wanapiga Vita Kibali alichonacho kwa sababu Werevu wa dunia hii huiangalia zaidi kesho yao na siyo Jana
Ninajua Lisu siyo aina ya Kiongozi ambaye hata Trump au Putin angetamani kufanya naye Kazi lakini hiyo haiondoi Ukweli kwamba Tundu Lisu ana KIBALI
Ahsanteni sana 🙏✔️