Kalosa
JF-Expert Member
- Feb 22, 2017
- 1,914
- 5,590
Huyo atakua wa majengo ya TaboraMkuu mim Block Q
Wew wapi
Huyo atakua wa majengo ya TaboraMkuu mim Block Q
Wew wapi
HahahaaaaaHuyo atakua wa majengo ya Tabora
Anayepafahamu wilaya ya Sikonge, mkoa wa Tabora, tafadhali naomba unifahamishe jinsi palivyo tabia za wenyeji na mengine mengi unayoyajua tafadhali.
Koma ukomae, kama msusa wa maharage. Tukomeee!!!!Nakubaliana na wewe asilimia mia moja100%..USITHUBUTU KUOA SIKONGE. WANAJIFANYAGA WAPOLE WASTAARABU ILA NI WACHAWI BALAA!
Sikonge na Chumvi wapi na wapi? Labda uliota. ulipoamka upo sehemu ya chumvi 🙂Nilienda huko mwezi wa 2, ni pabaya hatari kuna maji ya chumvi ukioga kama ya bahari.
Mkuu yale maji yenu ya visima ya kuchimba yana chumvi sana labda nyie mmeyazoeaSikonge na Chumvi wapi na wapi? Labda uliota. ulipoamka upo sehemu ya chumvi 🙂
Hamna kitu kama hicho Sikonge. Jipange upya Mkuu... Wewe una chumvi nyingine unakunywa Sikonge hehehehee!!!Mkuu yale maji yenu ya visima ya kuchimba yana chumvi sana labda nyie mmeyazoea
Mkuu nimelala harmony na kuoga pale maji ya chumviHamna kitu kama hicho Sikonge. Jipange upya Mkuu... Wewe una chumvi nyingine unakunywa Sikonge hehehehee!!!
Pale milambo palikuwa na kisima kilikuwa na maji chumvi.Hamna kitu kama hicho Sikonge. Jipange upya Mkuu... Wewe una chumvi nyingine unakunywa Sikonge hehehehee!!!
Hakuna Milambo Sikonge. Wewe utakuwa unaongelea Tabora mjini.Pale milambo palikuwa na kisima kilikuwa na maji chumvi.
Siku maji yakikatika lazima tufulie sabuni ya unga tu
Nilikua na demu wa kinyamwezi kutoka Sikonge na bado yupo sikonge huko
Ni PM contact yake nimfikishie salamu
Ni njia ya kwenda mbeya mkuuAnayepafahamu wilaya ya Sikonge, mkoa wa Tabora, tafadhali naomba unifahamishe jinsi palivyo tabia za wenyeji na mengine mengi unayoyajua tafadhali.