Bashatu
JF-Expert Member
- Nov 8, 2015
- 834
- 889
Hahahaaaa kwa hiyo watoto shombeshombe wengi pale?Sikonge iko Umbali wa Kilomita takribani 65 kutoka Tabora Mjini Barabara ya Tabora Ipole/Mpanda/Mbeya. Ni mji mkongwe ambao Waaarabu wameushika sana na hivyo usishangae kugika pale ukakuta dereva bodaboda kaoa Mtoto wa Kiarabu. Wanajishugulisha na Kilimo zaidi na Ufugaji. Kuku wapo kwa wingi na Nyama choma kibao.
Mi nimesoma milambo nimeishia tabora mjini basi