Aina ya wanasiasa maslahiukienda msalimie Said Nkumba
hah hah hah alihamia chadema leo kesho karudi ccmAina ya wanasiasa maslahi




mkuu njoo tu usiogope kama una fanya kazi njoo ufanye kazi mazingira yana ruhusu ila sio sehemu ya kula bata hakuna hotel huku bar chache hazi zidi 2



Km 74 toka mjini unatembea masaa 2..! Hoteli hakuna gesti je ?mkuu njoo tu usiogope kama una fanya kazi njoo ufanye kazi mazingira yana ruhusu ila sio sehemu ya kula bata hakuna hotel huku bar chache hazi zidi 2
Kikubwa zaidi barabara niya vumbi kidogo sahizi kutoka mjini mpaka sikonge zilizo jegwa hazifiki km 30....
Km 74 toka mjini unatembea masaa 2..!
Kama unagari lako unalipenda anza kulichukia mapema...
KARIBU MKUU TUENDESHE GURUDUMU LA MAISHA
zipo mpaka lodge zipo ila nzuri ni chache....Hoteli hakuna gesti je ?
Sikonge kwa sasa imekuwa na wageni wengi sana. Wenyeji wa Sikonge hasa ni WACHACHE.Anayepafahamu Wilaya ya Sikonge, mkoa wa Tabora, Tafadhali naomba unifahamishe jinsi palivyo tabia za wenyeji na mengine mengi unayoyajua tafadhari.
Wenyeji ni Prof Lipumba
Kuna nyoka wengi huko
Utakuta watu wanaitwa "wakonongo"....baba, hao ni dakika 1 mbele
Mkuu kulikuwa na haja au umuhimu gani ya kuniambia kakojoe nikalale?Ungelifanya BUSARA sana ukakojoe ukalale hahaha 🙂 Lipumba na Sikonge wapi na wapi?
Sawa na kusema Kikwete anatoka Kisarawe.
Wewe natamani niseme AMEPOA .......Ni kati ya wilaya zilizo nyuma kimaendeleo. Pamepoa sana.
Nilitania kwa kujua wewe ni Mtani wetu.Mkuu kulikuwa na haja au umuhimu gani ya kuniambia kakojoe nikalale?
Hawa mkuu nimekuelewa. Mimi ni huko Tabora hapo Urambo...Suala la nyoka wengi Tabora ni la kwelNilitania kwa kujua wewe ni Mtani wetu.
Umeandika habari zote za uongo kama Kuna Nyoka WENGI SANA na Lipumba anatoka Sikonge.
Kama si MTANI wetu basi siku nyingine usitutanie. Take it easy!!!
Urambo na Tabora tunapishana kidogo sana.Hawa mkuu nimekuelewa. Mimi ni huko Tabora hapo Urambo...Suala la nyoka wengi Tabora ni la kwel
mkuu njoo tu usiogope kama una fanya kazi njoo ufanye kazi mazingira yana ruhusu ila sio sehemu ya kula bata hakuna hotel huku bar chache hazi zidi 2
Kikubwa zaidi barabara niya vumbi kidogo sahizi kutoka mjini mpaka sikonge zilizo jegwa hazifiki km 30....
Km 74 toka mjini unatembea masaa 2..!
Kama unagari lako unalipenda anza kulichukia mapema...
KARIBU MKUU TUENDESHE GURUDUMU LA MAISHA
Mkuu mim Block QHawa mkuu nimekuelewa. Mimi ni huko Tabora hapo Urambo...Suala la nyoka wengi Tabora ni la kwel