Bambanza jr.
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 355
- 36
Habari zenyu jf? Ndani ya bunge letu kwa sasa ni vigumu sana ndani ya vikao kuona wabunge wakisinzia kama enzi zile nadhani ni kutokana na hoja nzito zinazotolewa! Lakini bado wabunge wazembe kimawazo bado wameendelea kuchapa usingizi bila aibu wakiulizwa wanadai "nilikuwa natafakari jambo kwa umakini" ebu naomba list ya waliosinzia zaidi toka mwaka 2005!