Anayeongoza kusinzia mjengoni!

Anayeongoza kusinzia mjengoni!

Hili wasiraaaaaaaaaa sura kama sokwe,sijui wapiga kura wake walilipendea nini?

Sikubaliani na wewe hata kidogo kutumia lugha chafu kwa wassira hata kama hukubaliani nae, mods tafadhari huyu mtu anatakiwa afungiwe kabisa
 
Si watafute vitanda! Je doctor akilala wakati wa surgeon itakuaje...?
 
Hili wasiraaaaaaaaaa sura kama sokwe,sijui wapiga kura wake walilipendea nini?
hahahahahahha...Kaka umeua kabisa duuu..kama mimi naachana na siasa nisiandikwe tena wala kupigwa picha..Duuu

ILA MMEMSAHAU Samweli Sitta naye hulala akifikiria waliomtilia sumu Mwakiembe
 
Wassira analala na si kusinzia,wengine wanamwiga tu kwa kusinzia..babu linatisha lile ka sokwe!
 
wasiiiiiiiiiirra.......
CAG,
KOMBA........
MCHIZI WA VIJISENTI, CHENGEEEEEEE
 
Kinacho kosekana hapo kwa mzee Hasira au sjui Wasiri aa Wasira, ni udenda tu basi.
 
Back
Top Bottom