Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,341
- 51,907
- Thread starter
- #121
Anakuwa amekuzidi nguvu na si akili. Anaweza akawa anakuzidi akili pia, ila siyo lazima
Mtu kama hana akili hawezi kukutawala.
Anakuwa amekuzidi nguvu na si akili. Anaweza akawa anakuzidi akili pia, ila siyo lazima
Umesahau kuwa hata Israel kupewa msaada na marekani kuwashinda waparestina ni akili kwanini waparestina hawaupati?
Akili anakuwa nayo ndio ila si lazima awe anakuzidi akili japo anaweza pia akawa anakuzidi akili. Kikubwa hapa ni nguvu; kwamba mnyonge hawezi kumtawla mwenye nguvu isipokuwa mwenye nguvu ndiye aliye na uwezo wa kumtawala mnyongeMtu kama hana akili hawezi kukutawala.
Hawapigani bali wanamtafuta nyoka aliyejificha shimoni ili kumbonda kichwa. Hatupigani na nyoka bali tuntafuta kumuuaNa hapohapo wanapigana na kibonde
Pengine una maanisha "ujasiri" = Being brave enough to...., na sio "Akili" = inteligence/cleverness.ANAYEKUTAWALA AMEKUZIDI AKILI
Anaandika, Robert Heriel.
Mtibeli.
Ukiona mtu amekuzidi na kukutawala kisiasa, kiuchumi, kijamii au kiteknolojia basi fahamu kabisa mtu au jamii hiyo imekuzidi Akili.
Akili ndio inayotawala mambo yote duniani. Ili upewe Mamlaka na nguvu basi lazima uwe na akili kuwashinda wengine hasa hao unaowatawala.
Kijinsia, Mwanaume anaakili kuliko Mwanamke ndio maana anamtawala. Ingawaje zipo siasa na porojo za kuwafariji wanawake kuwa wanaakili kuwashinda wanaume lakini kiuhalisia Mwanaume anaakili zaidi kuliko Mwanamke. Ndio maana Mwanaume anamtawala Mwanamke.
Kijamii, Wazungu na jamii zao wanaakili kushinda Waafrika, na Waarabu na wachina na jamii zingine. Ndio maana wazungu miaka nenda rudi wanatawala huu ulimwengu.
Kuna ile kujidanganya kuwa utawala ni majaliwa lakini hata hiyo akili yenyewe ni Majaliwa. Kila kitu kwenye maisha ni Majaliwa.
Wanyama wa porini tunawatawala kwa sababu ya sisi kuwashinda kiakili.
Huwezi tawala kitu ambacho kimekuzidi Akili hiyo haiwezekani na haitakuja kutokea.
Elewa kuwa wewe unaakili nyembamba au ndogo ndio maana unatawaliwa, na ndio maana wewe sio mtawala. Ingawaje unaweza na unaruhusiwa kujifariji kuwa umewazidi waliokutawala akili hiyo haibadilishi chochote kuwa wewe kiakili upo Chini.
Kama nitaulizwa ni kwa nini CCM mpaka leo inatawala mpaka leo basi moja kwa moja nitakuambia kuwa CCM inaakili kuliko vyama vingine. Yaani Watu wa ccm(inawezakuwa isiwe wote) wanaakili kuliko vyama vingine.
Haiwezekani kila mpambano na kila uchaguzi CCM ishinde tuu. Hiyo ni kuonyesha kuwa wanaakili kuwashinda wapinzani wao.
Watu wajinga hupenda kutoa visingizio katika kushindwa au pale wanaposhindwa na wenye Akili.
Sijui polisi, sijui wanatumia vyombo vya Dola, sasa kwa nini ninyi msitafute akili ya kupata ushawishi kwenye hivyo vyombo vya Dola kama mnajua kuwa kuna wakati ili mpate ushindi basi vyombo vya dola vinaweza kuwasaidia. AKILI.
Unakuta mtu anajiona anaakili kuliko Boss wake. Mpaka unamshangaa. Hiyo ni dalili ya kuchanganyikiwa. Huwezi kuwa na akili zaidi ya mtu ambaye amekuzidi na amekutawala katika uchumi alafu useme unamzidi akili za uchumi.
Kwenye Vita baina ya Israel na Palestina, watu wajinga na wenye upeo mdogo wanakataa kuwa Israel haina Akili na utawala wake unatokana na Kusaidiwa na Marekani. Yaani kama sio Marekani basi Israel haiiwezi Palestina na Waarabu. Unakuja kugundua kuwa wanaosema hivyo upeo wao upo chini katika kuyachambua mambo.
Hawajiulizi mbona Ukraine inasaidiwa na Marekani, na nchi za Nato lakini Inashindwa mbele ya Urusi. Hawajiulizi hivyo kwa sababu hawajui kuwa Akili ndogo haiwezi kuishinda akili kubwa.
Urusi ni akili kubwa hivyo inapokutana na Ukraine hapo ni lazima Ukraine ashindwe tuu bila kujali huyo Ukraine atasaidiwa na Marekani au Nato.
Wewe kama unajua ili ushinde unatakiwa ufanye moja mbili tatu. Kwa nini usifanye hizo moja mbili tatu.
Mshindani wako akikushinda unaleta visingizio.
Ooooh! Fulani kaenda kwa waganga wa kienyeji, sijui anauza madawa ya kulevya, ndio maana anapesa, pesa za wizi zile.
Hivi kwa ujinga wako unafikiri hata huo Wizi au kuuza madawa ya kulevya hakuhitaji AKILI?
Nenda nawe ukauze au kaibe ili ujue huyo mwenzako amekuzidi Akili na atakutawala kwa ufinyu wa akili yako.
Elewa kuwa Akili ni akili tuu. Bila kujali ni Akili ya uadilifu au akili ya uhalifu. Kutawaliwa ni kutawaliwa tuu iwe unatawaliwa kwa Haki au kwa haramu.
Jambo moja nalotaka kusema ni kuwa, ukishindwa kubali umeshindwa, kukubali kushindwa ni mwanzo wa kujitambua na unaweza kujua wapi pakuanzia.
Lakini kujifanya unauwezo wakati uwezo huo huna na kama ungekuwa nao usingeshindwa ni dalili ya kutojitambua.
Mimi nimemaliza,
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Pengine una maanisha "ujasiri" = Being brave enough to...., na sio "Akili" = inteligence/cleverness.
Kwa baadhi ya mambo neno FATE = Majaliwa, linaweza kufit zaidi maelezo yaliyotolewa (mf. Historia ya Chifu Mkwawa).
Neno akili lina ukomo kwa vile baadhi ya mifano iliyotolewa haifui dafu kwa kundi kubwa la viumbe waliojipanga kutawala/kushinda kundi dogo hata kama lina akili kiasi gani.
Mfano, kundi la simba porini likimuua tembo limesaidiwa na:
-wepesi wa mwili
-Aina ya meno na makucha waliyoumbiwa (tearing)
-Msukumo (urge) wa njaa na mahitaji ya chakula chake (Carnival)
Tembo akiuawa ni kwa sababu:
-Ukubwa wa mwili, sio rahisi kujificha au kubadili uelekeo
-Naturally yeye ni chakula cha wanyama walao nyama,
-n.k.
Je unataka kusema Sadam Hussein au Osama walizidiwa akili na Taifa la Marekani?
Anyway, nakubaliana na mtoa mada kwamba, akili ina mchango mkubwa kutawala jambo lolote tena bila kutumia nguvu. Bali tusisahau nguvu iliyomo kupitia ulaghai, timing na mifumo.
Hawapigani bali wanamtafuta nyoka aliyejificha shimoni ili kumbonda kichwa. Hatupigani na nyoka bali tuntafuta kumuua
MAKONDA ANA AKILI SANA right?
Akili anakuwa nayo ndio ila si lazima awe anakuzidi akili japo anaweza pia akawa anakuzidi akili. Kikubwa hapa ni nguvu; kwamba mnyonge hawezi kumtawla mwenye nguvu isipokuwa mwenye nguvu ndiye aliye na uwezo wa kumtawala mnyonge
HamasSasa hapo nyoka ni nani Mkuu?
Sana wana akili kubwa mnoKumbe na CCM Kuna wenye akili?, Upuuzi kabisa!!.
Huyo achana nae hayuko sawa siku hizi.
Ndugu kumbuka utawala ni mfumo, mtawala ni mtu aliye ndani ya mfumo.ANAYEKUTAWALA AMEKUZIDI AKILI
Anaandika, Robert Heriel.
Mtibeli.
Ukiona mtu amekuzidi na kukutawala kisiasa, kiuchumi, kijamii au kiteknolojia basi fahamu kabisa mtu au jamii hiyo imekuzidi Akili.
Akili ndio inayotawala mambo yote duniani. Ili upewe Mamlaka na nguvu basi lazima uwe na akili kuwashinda wengine hasa hao unaowatawala.
Kijinsia, Mwanaume anaakili kuliko Mwanamke ndio maana anamtawala. Ingawaje zipo siasa na porojo za kuwafariji wanawake kuwa wanaakili kuwashinda wanaume lakini kiuhalisia Mwanaume anaakili zaidi kuliko Mwanamke. Ndio maana Mwanaume anamtawala Mwanamke.
Kijamii, Wazungu na jamii zao wanaakili kushinda Waafrika, na Waarabu na wachina na jamii zingine. Ndio maana wazungu miaka nenda rudi wanatawala huu ulimwengu.
Kuna ile kujidanganya kuwa utawala ni majaliwa lakini hata hiyo akili yenyewe ni Majaliwa. Kila kitu kwenye maisha ni Majaliwa.
Wanyama wa porini tunawatawala kwa sababu ya sisi kuwashinda kiakili.
Huwezi tawala kitu ambacho kimekuzidi Akili hiyo haiwezekani na haitakuja kutokea.
Elewa kuwa wewe unaakili nyembamba au ndogo ndio maana unatawaliwa, na ndio maana wewe sio mtawala. Ingawaje unaweza na unaruhusiwa kujifariji kuwa umewazidi waliokutawala akili hiyo haibadilishi chochote kuwa wewe kiakili upo Chini.
Kama nitaulizwa ni kwa nini CCM mpaka leo inatawala mpaka leo basi moja kwa moja nitakuambia kuwa CCM inaakili kuliko vyama vingine. Yaani Watu wa ccm(inawezakuwa isiwe wote) wanaakili kuliko vyama vingine.
Haiwezekani kila mpambano na kila uchaguzi CCM ishinde tuu. Hiyo ni kuonyesha kuwa wanaakili kuwashinda wapinzani wao.
Watu wajinga hupenda kutoa visingizio katika kushindwa au pale wanaposhindwa na wenye Akili.
Sijui polisi, sijui wanatumia vyombo vya Dola, sasa kwa nini ninyi msitafute akili ya kupata ushawishi kwenye hivyo vyombo vya Dola kama mnajua kuwa kuna wakati ili mpate ushindi basi vyombo vya dola vinaweza kuwasaidia. AKILI.
Unakuta mtu anajiona anaakili kuliko Boss wake. Mpaka unamshangaa. Hiyo ni dalili ya kuchanganyikiwa. Huwezi kuwa na akili zaidi ya mtu ambaye amekuzidi na amekutawala katika uchumi alafu useme unamzidi akili za uchumi.
Kwenye Vita baina ya Israel na Palestina, watu wajinga na wenye upeo mdogo wanakataa kuwa Israel haina Akili na utawala wake unatokana na Kusaidiwa na Marekani. Yaani kama sio Marekani basi Israel haiiwezi Palestina na Waarabu. Unakuja kugundua kuwa wanaosema hivyo upeo wao upo chini katika kuyachambua mambo.
Hawajiulizi mbona Ukraine inasaidiwa na Marekani, na nchi za Nato lakini Inashindwa mbele ya Urusi. Hawajiulizi hivyo kwa sababu hawajui kuwa Akili ndogo haiwezi kuishinda akili kubwa.
Urusi ni akili kubwa hivyo inapokutana na Ukraine hapo ni lazima Ukraine ashindwe tuu bila kujali huyo Ukraine atasaidiwa na Marekani au Nato.
Wewe kama unajua ili ushinde unatakiwa ufanye moja mbili tatu. Kwa nini usifanye hizo moja mbili tatu.
Mshindani wako akikushinda unaleta visingizio.
Ooooh! Fulani kaenda kwa waganga wa kienyeji, sijui anauza madawa ya kulevya, ndio maana anapesa, pesa za wizi zile.
Hivi kwa ujinga wako unafikiri hata huo Wizi au kuuza madawa ya kulevya hakuhitaji AKILI?
Nenda nawe ukauze au kaibe ili ujue huyo mwenzako amekuzidi Akili na atakutawala kwa ufinyu wa akili yako.
Elewa kuwa Akili ni akili tuu. Bila kujali ni Akili ya uadilifu au akili ya uhalifu. Kutawaliwa ni kutawaliwa tuu iwe unatawaliwa kwa Haki au kwa haramu.
Jambo moja nalotaka kusema ni kuwa, ukishindwa kubali umeshindwa, kukubali kushindwa ni mwanzo wa kujitambua na unaweza kujua wapi pakuanzia.
Lakini kujifanya unauwezo wakati uwezo huo huna na kama ungekuwa nao usingeshindwa ni dalili ya kutojitambua.
Mimi nimemaliza,
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Aisee niliwaambia wanafunzi wangu kuwa wasimcheke mwanafunzi mfupi na mwembamba ila watazame kichwani kujua kabeba Nini ili wasimcheke boss wao wa kesho
Anaekutawala kiimani amekuzidi akili, eti puuza jadi yako na ufuate yao!! Hiyo imekaaje?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app