BIG STONE AND CONER STONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 480
- 819
Funguka kutoa msaada wa Dawa/ pills sio mbaya sisemi kwa lengo la kejeli..may be ukamsaidia mtu au inbox
Funguka kutoa msaada wa Dawa/ pills sio mbaya sisemi kwa lengo la kejeli..may be ukamsaidia mtu au inbox
Mimi hapa sipo kujifariji kama ni hivyo ningesema waafrika ndio jamii yenye akili kushinda zote ila nimetumia utafiti wa kimataifa ambao unaikataa hata jamii yangu na kuwaweka hao wachina, wajapan na wakorea ni wapi hapo napo jifariji ?Huwezi mdhibiti mtu aliyekuzidi Akili Maisha yako yote.
Akili kubwa ni kuongoza na kuwatawala binadamu.
Unachojaribu kufanya hapa ni kujifariji au kujidanganya.
Ni kama wewe na rafiki yako Abdallah
Wewe tengeneza teknolojia alafu wewe na hiyo teknolojia mnatawaliwa na Abdallah yeye anakutawala na kukuendesha wewe na hiyo teknolojia na anakupangia matumizi. Hapo ndio utajua wewe na Abdallah nani anaakili
Katika kundi la wasio na akili, basi wana nafuu, ila haiondoi ukweli kuwa wana ccm ni kundi la watanzania ambao kwa ujumla wetu IQ iko chini sana, so hatuwezi kusema ccm wana akili sana.Mpaka Wanatawala Nchi yako, kabila lako, ukoo wako, familia yako kwa zaidi ya miaka 60 bado Uulize swali kama hilo?
Unazijua snZitaje tuone kama hizo koo zina akili, bahati au kingine.
Hii ni kwa mujibu wako pekee nafikiriNdio alimzidi kwa mbali Sana.
Kwa sababu Hitler aliongoza na kutawala mamilioni ya Watu ikiwemo huyo Albert Einstein. Lakini Albert Hana uwezo wa kutawala hata Watu kumi zaidi ya kutawaliwa tuu.
Mimi hapa sipo kujifariji kama ni hivyo ningesema waafrika ndio jamii yenye akili kushinda zote ila nimetumia utafiti wa kimataifa ambao unaikataa hata jamii yangu na kuwaweka hao wachina, wajapan na wakorea ni wapi hapo napo jifariji ?
Taitizo ni kwamba tayari unaamini mabavu ya kupora ardhi na kuweka watu vifungoni ni akili hauna tofauti na watawala wengi wa kale wanao amini imperialism ni ujanja na wengine wanamawazo kama hayo hadi sasa nawe ni mmoja wao.
Hii ni kwa mujibu wako pekee nafikiri
Katika kundi la wasio na akili, basi wana nafuu, ila haiondoi ukweli kuwa wana ccm ni kundi la watanzania ambao kwa ujumla wetu IQ iko chini sana, so hatuwezi kusema ccm wana akili sana.
Huwezi tenganisha Akili na utawala.
Uwezo wa kujitawala unaenda sambamba na uwezo wa akili.
Uwezo wa kutawala Watu na kutawala mazingira unaenda sambamba na Akili.
Ukiona unashindwa kujitawala an kutawala mazingira yake hiyo ndio tafsiri ya kuambiwa unaupeo mdogo sana wa Akili.
Akili ni uwezo wa kujua, kutambua, kuchambua, kugundua, kuvumbua, kukumbuka, kuhifadhi vitu au jambo ili kutatua changamoto Fulani.
Kumzidi mtu akili haimaanishi kuwa yeye hana akili kabisa. Maelezo yako yanaupotoshaji fulani kwa makusudi au bahati mbaya. Anayekutawala kwa sehemu Fulani atakuwa ana nguvu za kisheria, silaha, pesa ama kakutana na mazingira wezeshi.Huo uwezo wa kumnyima silaha ndio akili zenyewe.
Kama Watu wangeacha Nature iamue Watu wasingerusha ndege angani au kutembea na meli baharini.
Wajinga ndio huwa na mawazo kama hayo.
Hawana akili, wangekuwa nazo basi walau wangeonyesha kwa vitendo kutatua changamoto za jamii yao, hawana akili hata kidogo. Tena wana upumbavu mwingi, sema wapo kwenye kundi la wengi wenye IQ ndogo so wanaonekana wajanja, wenye akili, ila kiuhalisia, wakipelekwa huko kwa walio na akili watatia aibu.Wanaakili sana kuzidi wanaowatawala(sisi) kama ulivyosema sisi wengi wetu tunaupeo mdogo
Hawana akili, wangekuwa nazo basi walau wangeonyesha kwa vitendo kutatua changamoto za jamii yao, hawana akili hata kidogo. Tena wana upumbavu mwingi, sema wapo kwenye kundi la wengi wenye IQ ndogo so wanaonekana wajanja, wenye akili, ila kiuhalisia, wakipelekwa huko kwa walio na akili watatia aibu.
Basi hawana akili, kuwa na akili ni pampja na kujua upo nafasi gani, unatakiwa ufanye nini ili kutatua changamoto za watu wako. They're just stupid!!!😀😀
Wapo kwaajili ya kutatua changamoto zao na sio zenu.
Huwezi tenganisha Akili na utawala.
Uwezo wa kujitawala unaenda sambamba na uwezo wa akili.
Uwezo wa kutawala Watu na kutawala mazingira unaenda sambamba na Akili.
Ukiona unashindwa kujitawala an kutawala mazingira yake hiyo ndio tafsiri ya kuambiwa unaupeo mdogo sana wa Akili.
Anakuwa amekuzidi nguvu na si akili. Anaweza akawa anakuzidi akili pia, ila siyo lazimaANAYEKUTAWALA AMEKUZIDI AKILI
Anaandika, Robert Heriel.
Mtibeli.
Ukiona mtu amekuzidi na kukutawala kisiasa, kiuchumi, kijamii au kiteknolojia basi fahamu kabisa mtu au jamii hiyo imekuzidi Akili.
Akili ndio inayotawala mambo yote duniani. Ili upewe Mamlaka na nguvu basi lazima uwe na akili kuwashinda wengine hasa hao unaowatawala.
Kijinsia, Mwanaume anaakili kuliko Mwanamke ndio maana anamtawala. Ingawaje zipo siasa na porojo za kuwafariji wanawake kuwa wanaakili kuwashinda wanaume lakini kiuhalisia Mwanaume anaakili zaidi kuliko Mwanamke. Ndio maana Mwanaume anamtawala Mwanamke.
Kijamii, Wazungu na jamii zao wanaakili kushinda Waafrika, na Waarabu na wachina na jamii zingine. Ndio maana wazungu miaka nenda rudi wanatawala huu ulimwengu.
Kuna ile kujidanganya kuwa utawala ni majaliwa lakini hata hiyo akili yenyewe ni Majaliwa. Kila kitu kwenye maisha ni Majaliwa.
Wanyama wa porini tunawatawala kwa sababu ya sisi kuwashinda kiakili.
Huwezi tawala kitu ambacho kimekuzidi Akili hiyo haiwezekani na haitakuja kutokea.
Elewa kuwa wewe unaakili nyembamba au ndogo ndio maana unatawaliwa, na ndio maana wewe sio mtawala. Ingawaje unaweza na unaruhusiwa kujifariji kuwa umewazidi waliokutawala akili hiyo haibadilishi chochote kuwa wewe kiakili upo Chini.
Kama nitaulizwa ni kwa nini CCM mpaka leo inatawala mpaka leo basi moja kwa moja nitakuambia kuwa CCM inaakili kuliko vyama vingine. Yaani Watu wa ccm(inawezakuwa isiwe wote) wanaakili kuliko vyama vingine.
Haiwezekani kila mpambano na kila uchaguzi CCM ishinde tuu. Hiyo ni kuonyesha kuwa wanaakili kuwashinda wapinzani wao.
Watu wajinga hupenda kutoa visingizio katika kushindwa au pale wanaposhindwa na wenye Akili.
Sijui polisi, sijui wanatumia vyombo vya Dola, sasa kwa nini ninyi msitafute akili ya kupata ushawishi kwenye hivyo vyombo vya Dola kama mnajua kuwa kuna wakati ili mpate ushindi basi vyombo vya dola vinaweza kuwasaidia. AKILI.
Unakuta mtu anajiona anaakili kuliko Boss wake. Mpaka unamshangaa. Hiyo ni dalili ya kuchanganyikiwa. Huwezi kuwa na akili zaidi ya mtu ambaye amekuzidi na amekutawala katika uchumi alafu useme unamzidi akili za uchumi.
Kwenye Vita baina ya Israel na Palestina, watu wajinga na wenye upeo mdogo wanakataa kuwa Israel haina Akili na utawala wake unatokana na Kusaidiwa na Marekani. Yaani kama sio Marekani basi Israel haiiwezi Palestina na Waarabu. Unakuja kugundua kuwa wanaosema hivyo upeo wao upo chini katika kuyachambua mambo.
Hawajiulizi mbona Ukraine inasaidiwa na Marekani, na nchi za Nato lakini Inashindwa mbele ya Urusi. Hawajiulizi hivyo kwa sababu hawajui kuwa Akili ndogo haiwezi kuishinda akili kubwa.
Urusi ni akili kubwa hivyo inapokutana na Ukraine hapo ni lazima Ukraine ashindwe tuu bila kujali huyo Ukraine atasaidiwa na Marekani au Nato.
Wewe kama unajua ili ushinde unatakiwa ufanye moja mbili tatu. Kwa nini usifanye hizo moja mbili tatu.
Mshindani wako akikushinda unaleta visingizio.
Ooooh! Fulani kaenda kwa waganga wa kienyeji, sijui anauza madawa ya kulevya, ndio maana anapesa, pesa za wizi zile.
Hivi kwa ujinga wako unafikiri hata huo Wizi au kuuza madawa ya kulevya hakuhitaji AKILI?
Nenda nawe ukauze au kaibe ili ujue huyo mwenzako amekuzidi Akili na atakutawala kwa ufinyu wa akili yako.
Elewa kuwa Akili ni akili tuu. Bila kujali ni Akili ya uadilifu au akili ya uhalifu. Kutawaliwa ni kutawaliwa tuu iwe unatawaliwa kwa Haki au kwa haramu.
Jambo moja nalotaka kusema ni kuwa, ukishindwa kubali umeshindwa, kukubali kushindwa ni mwanzo wa kujitambua na unaweza kujua wapi pakuanzia.
Lakini kujifanya unauwezo wakati uwezo huo huna na kama ungekuwa nao usingeshindwa ni dalili ya kutojitambua.
Mimi nimemaliza,
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Umesahau kuwa hata Israel kupewa msaada na marekani kuwashinda waparestina ni akili kwanini waparestina hawaupati?ANAYEKUTAWALA AMEKUZIDI AKILI
Anaandika, Robert Heriel.
Mtibeli.
Ukiona mtu amekuzidi na kukutawala kisiasa, kiuchumi, kijamii au kiteknolojia basi fahamu kabisa mtu au jamii hiyo imekuzidi Akili.
Akili ndio inayotawala mambo yote duniani. Ili upewe Mamlaka na nguvu basi lazima uwe na akili kuwashinda wengine hasa hao unaowatawala.
Kijinsia, Mwanaume anaakili kuliko Mwanamke ndio maana anamtawala. Ingawaje zipo siasa na porojo za kuwafariji wanawake kuwa wanaakili kuwashinda wanaume lakini kiuhalisia Mwanaume anaakili zaidi kuliko Mwanamke. Ndio maana Mwanaume anamtawala Mwanamke.
Kijamii, Wazungu na jamii zao wanaakili kushinda Waafrika, na Waarabu na wachina na jamii zingine. Ndio maana wazungu miaka nenda rudi wanatawala huu ulimwengu.
Kuna ile kujidanganya kuwa utawala ni majaliwa lakini hata hiyo akili yenyewe ni Majaliwa. Kila kitu kwenye maisha ni Majaliwa.
Wanyama wa porini tunawatawala kwa sababu ya sisi kuwashinda kiakili.
Huwezi tawala kitu ambacho kimekuzidi Akili hiyo haiwezekani na haitakuja kutokea.
Elewa kuwa wewe unaakili nyembamba au ndogo ndio maana unatawaliwa, na ndio maana wewe sio mtawala. Ingawaje unaweza na unaruhusiwa kujifariji kuwa umewazidi waliokutawala akili hiyo haibadilishi chochote kuwa wewe kiakili upo Chini.
Kama nitaulizwa ni kwa nini CCM mpaka leo inatawala mpaka leo basi moja kwa moja nitakuambia kuwa CCM inaakili kuliko vyama vingine. Yaani Watu wa ccm(inawezakuwa isiwe wote) wanaakili kuliko vyama vingine.
Haiwezekani kila mpambano na kila uchaguzi CCM ishinde tuu. Hiyo ni kuonyesha kuwa wanaakili kuwashinda wapinzani wao.
Watu wajinga hupenda kutoa visingizio katika kushindwa au pale wanaposhindwa na wenye Akili.
Sijui polisi, sijui wanatumia vyombo vya Dola, sasa kwa nini ninyi msitafute akili ya kupata ushawishi kwenye hivyo vyombo vya Dola kama mnajua kuwa kuna wakati ili mpate ushindi basi vyombo vya dola vinaweza kuwasaidia. AKILI.
Unakuta mtu anajiona anaakili kuliko Boss wake. Mpaka unamshangaa. Hiyo ni dalili ya kuchanganyikiwa. Huwezi kuwa na akili zaidi ya mtu ambaye amekuzidi na amekutawala katika uchumi alafu useme unamzidi akili za uchumi.
Kwenye Vita baina ya Israel na Palestina, watu wajinga na wenye upeo mdogo wanakataa kuwa Israel haina Akili na utawala wake unatokana na Kusaidiwa na Marekani. Yaani kama sio Marekani basi Israel haiiwezi Palestina na Waarabu. Unakuja kugundua kuwa wanaosema hivyo upeo wao upo chini katika kuyachambua mambo.
Hawajiulizi mbona Ukraine inasaidiwa na Marekani, na nchi za Nato lakini Inashindwa mbele ya Urusi. Hawajiulizi hivyo kwa sababu hawajui kuwa Akili ndogo haiwezi kuishinda akili kubwa.
Urusi ni akili kubwa hivyo inapokutana na Ukraine hapo ni lazima Ukraine ashindwe tuu bila kujali huyo Ukraine atasaidiwa na Marekani au Nato.
Wewe kama unajua ili ushinde unatakiwa ufanye moja mbili tatu. Kwa nini usifanye hizo moja mbili tatu.
Mshindani wako akikushinda unaleta visingizio.
Ooooh! Fulani kaenda kwa waganga wa kienyeji, sijui anauza madawa ya kulevya, ndio maana anapesa, pesa za wizi zile.
Hivi kwa ujinga wako unafikiri hata huo Wizi au kuuza madawa ya kulevya hakuhitaji AKILI?
Nenda nawe ukauze au kaibe ili ujue huyo mwenzako amekuzidi Akili na atakutawala kwa ufinyu wa akili yako.
Elewa kuwa Akili ni akili tuu. Bila kujali ni Akili ya uadilifu au akili ya uhalifu. Kutawaliwa ni kutawaliwa tuu iwe unatawaliwa kwa Haki au kwa haramu.
Jambo moja nalotaka kusema ni kuwa, ukishindwa kubali umeshindwa, kukubali kushindwa ni mwanzo wa kujitambua na unaweza kujua wapi pakuanzia.
Lakini kujifanya unauwezo wakati uwezo huo huna na kama ungekuwa nao usingeshindwa ni dalili ya kutojitambua.
Mimi nimemaliza,
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam