Mi nataka Samsung A23 RAM 6gb na ROM 64gb
A23 haina thamani zaidi ya laki 5 mkuu,Habari wakuu..
Nimekuwa interested na hiyo simu tajwa hapo(Samsung a23 iwe na na 6gb RAM na memory ya 64gb). Kwa anaejua gharama yake anijulishe...kuna mtu nilimuuliza akasema zimekuwa adimu hazipatikani. Kuna ukweli wa hilo?
Nipo Dar.
Kaka samahani kwa kukutoa nje ya mada.Kaka msaada wako please!Account yangu ya google inagoma ku-syncs contacts zangu mpaka ile option ya kusave kwenye account ya google kwenye contacts haipo.A23 haina thamani zaidi ya laki 5 mkuu,
Ipo A23 5G ambayo kidogo around laki 6 sio mbaya.
Pia kama unapata A14 5G ni simu nzuri zaidi, version ya Exynos 1330.
Mkuu error hapo ni kwamba haina permission. Umejaribu kwenda setting kisha apps kisha Contacts then kwenye permission iruhusu kusoma hizo contacts?Kaka samahani kwa kukutoa nje ya mada.Kaka msaada wako please!Account yangu ya google inagoma ku-syncs contacts zangu mpaka ile option ya kusave kwenye account ya google kwenye contacts haipo.
Nimeenda google kwenye account yangu kwenye kipengele cha ku-syncs contacts inaandika "Sync is currently experiencing problems It will be back shortly."
Nimesoma maandiko mengi sana kutoka google juu ya namna ya kutatua tatizo kama vile kuruhusu permisions mbalimbali,kusaini out na kuja kusaini inn tena kwenye account ya google na kadhalika ila njia zote zimeshindikana.
Unaweza kuwa na lolote la kunisaidia kaka kwani mimi huwa sipendi kabisa ku-save namba za simu kwenye line au kwenye simu yangu bali napenda ku-save huko google ila ndo hivyo sasa hivi inanigomea.
View attachment 2511921View attachment 2511922
Permission inaruhusu kusoma contacts mkuuMkuu error hapo ni kwamba haina permission. Umejaribu kwenda setting kisha apps kisha Contacts then kwenye permission iruhusu kusoma hizo contacts?
Wakati wa kusave hakuna option ya google account.Kuna option za line za simu pamoja na simu yenyewe basi.Alternative fungua app ya contact then nenda setting zake kisha kwenye kusave hakikisha Google account ni option mojawapo.
Hizi 3rd party apps ni kama zipi mkuu?Na je hizi 3rd part apps zinaruhusu google syncs?Aternative tumia 3rd party apps kusave hizo namba manual,
Hizi email tofautitofauti ni email za google?unaweza pia kuzisave email tofauti tofauti.
Email yoyote mkuu, kwa kuanzia mkuu download contacts by google uone kama itasolve, ikishindikana tutumie 3rd partyPermission inaruhusu kusoma contacts mkuu
Wakati wa kusave hakuna option ya google account.Kuna option za line za simu pamoja na simu yenyewe basi.
Hizi 3rd party apps ni kama zipi mkuu?Na je hizi 3rd part apps zinaruhusu google syncs?
Hizi email tofautitofauti ni email za google?
Hii ndiyo ninayotumia sasa hivi kakaEmail yoyote mkuu, kwa kuanzia mkuu download contacts by google uone kama itasolve, ikishindikana tutumie 3rd party
![]()
Nimegoogle hapa mkuu umeipa Google play service permission zote? Nenda setting then apps then itafute hio playservice kisha ipe permission zote uone kama itasaidia.Hii ndiyo ninayotumia sasa hivi kaka
Kaka kuna app ipo ndani ya simu za android inaitwa google services framework na huwa haionekani kule playstore ni mpaka uisearch.Sasa kuna siku ilikuwa inakula sana bando na niling'amua hilo kupita app ambayo huwa natumia kutrack matumizi ya bando.Nimegoogle hapa mkuu umeipa Google play service permission zote? Nenda setting then apps then itafute hio playservice kisha ipe permission zote uone kama itasaidia.
A505U1 ina band zote za hapa, sema kuwa makini na Samsung za Aliexpress nunua kwa seller mkubwa.Mkuu Chief-Mkwawa samahani nimevutiwa na hii Samsung a50 ila nataka kuchuku hiyo ya us version single line sababu ya unafuu wa bei,,je inaweza kusumbua mtandao huku kwetu?View attachment 2546535
Shukran sana mkuu huyu seller ana rate nzuri niahanunua tena sim kwakeA505U1 ina band zote za hapa, sema kuwa makini na Samsung za Aliexpress nunua kwa seller mkubwa.
Rahisi sana hapa maeneo ya Msimbazi muone poti hapo central zipo kibwenaHabari wakuu...
Nimekuwa interested na hiyo simu tajwa hapo (Samsung a23 iwe na na 6gb RAM na memory ya 64gb). Kwa anaejua gharama yake anijulishe... kuna mtu nilimuuliza akasema zimekuwa adimu hazipatikani. Kuna ukweli wa hilo?
Nipo Dar.