naomba kazi
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 253
- 213
Habarini za asubuhi,
Mdogo wangu wa kike ameitwa kwenye interview siku ya jumatatu na iyo kampuni
Nataka kujua yafuatayo
Iyo kampuni ipo wapi?
Inajishughulisha na nini?
Interview zao uwa zipoje ?
Na mengineyo ya ziada mwenye kujua basi anijuze zaidi nimfikishie dogo ajipange
Karibuni
Mdogo wangu wa kike ameitwa kwenye interview siku ya jumatatu na iyo kampuni
Nataka kujua yafuatayo
Iyo kampuni ipo wapi?
Inajishughulisha na nini?
Interview zao uwa zipoje ?
Na mengineyo ya ziada mwenye kujua basi anijuze zaidi nimfikishie dogo ajipange
Karibuni