ANAYEIFAHAMU KIOO COMPANY LIMITED

ANAYEIFAHAMU KIOO COMPANY LIMITED

naomba kazi

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2019
Posts
253
Reaction score
213
Habarini za asubuhi,

Mdogo wangu wa kike ameitwa kwenye interview siku ya jumatatu na iyo kampuni

Nataka kujua yafuatayo

Iyo kampuni ipo wapi?
Inajishughulisha na nini?
Interview zao uwa zipoje ?

Na mengineyo ya ziada mwenye kujua basi anijuze zaidi nimfikishie dogo ajipange

Karibuni
 
Nlikuwa naenda kuokota vioo akati nikiwa mdogo aisee. Kwa ajili ya kuweka juu ya fensi. Nimetoka dar siku ila uelekeo wa keko kama sikosei
 
Haya maswali muulize mdogo wako, aliombaje kazi, tangazo la kazi aliliona wapi, alitumia njia gani ya mawasiliano au anuani katika kuomba hiyo kazi, kama ni email au alipeka moja kwa moja.

Kwenye bango la tangazo la kazi, kampuni yoyote ile hua inaanza na utangulizi kuhusu hiyo kampuni, je kwenye tangazo la kazi hakuona kampuni inahusika na nini?

Ukipata majibu ya hayo maswali kama hutaridhika ndio ulete hapa dawau wakusaidie.

Kumbuka, Kama kampuni inatumia email ila inatumia public domain kama gmail, yahoo hizo uwe nazo makini, 98% hua ni matapeli. Kingine jina tula kampuni linaweza kukupa mashaka, kioo? Alafu ukiona wanasema sijui international pia hao ni matapeli
 
Habarini za asubuhi,

Mdogo wangu wa kike ameitwa kwenye interview siku ya jumatatu na iyo kampuni

Nataka kujua yafuatayo

Iyo kampuni ipo wapi?
Inajishughulisha na nini?
Interview zao uwa zipoje ?

Na mengineyo ya ziada mwenye kujua basi anijuze zaidi nimfikishie dogo ajipange

Karibuni
Mkuu, mdogo wako kama ameitwa kwenye interview maana yake aliomba kazi hapo.
Au siku hizi unaitwa tuu bila kutuma application?
Nadhani muulize ataweza kukupatia hizo taarifa.
 
7
Haya maswali muulize mdogo wako, aliombaje kazi, tangazo la kazi aliliona wapi, alitumia njia gani ya mawasiliano au anuani katika kuomba hiyo kazi, kama ni email au alipeka moja kwa moja.

Kwenye bango la tangazo la kazi, kampuni yoyote ile hua inaanza na utangulizi kuhusu hiyo kampuni, je kwenye tangazo la kazi hakuona kampuni inahusika na nini?

Ukipata majibu ya hayo maswali kama hutaridhika ndio ulete hapa dawau wakusaidie.

Kumbuka, Kama kampuni inatumia email ila inatumia public domain kama gmail, yahoo hizo uwe nazo makini, 98% hua ni matapeli. Kingine jina tula kampuni linaweza kukupa mashaka, kioo? Alafu ukiona wanasema sijui international pia hao ni matapeli
Nimekuelewa mkuu asante sana, dogo aliniambia kuwa yeye alikuwa anafanya ili

Ali download application ya mambo ya akija

Akitenga siku iyo bando la Gb 2,

Alikuwa anachukua e-mail za makampuni anaomba kazi kwa kutuma cv

Ameomba sehemu nyingi sana anasema zaidi ya 300

Sio kwamba aliomba direct kwa kuandika barua ya maombi hapana
 
Nlikuwa naenda kuokota vioo akati nikiwa mdogo aisee. Kwa ajili ya kuweka juu ya fensi. Nimetoka dar siku ila uelekeo wa keko kama sikosei
Vitanzania kwa kiherehere bwana,, yaani haviwezi kuelekeza tu Mara moja mpaka vikuchambue wee! Hivi kama.mtu hapajui mahali kuna ubaya gani ukikaa kimya? Angalau wewe mkuu umempa pa kuanzia, sasa sijui kama hiyo ni Keko au Chang'ombe ile. Aende maeneo hayo barabara inaitwa Saza kama sikosei. Akiwa na barabara ya Nelson Mandela akiwa anaelekea Chang'ombe ashukie Oil Com mbele kidogo ya VF Mistry. Akiwa hapo aulize hata mtoto mdogo Kioo limited ataoneshwa.
 
Hiki ni kiwanda kina husika na utengezaji wa chupa, kilikuwa kina milikiwa na marehemu Chande. Kipo nyuma ya kiwanda cha mabati Alaf, pia kina pakana na kiwanda cha Nondo Kamali Steel.
Kama unapanda daladala shuka kituo cha Vetenary (mapambano) eneo maarufu ambapo wanauza vifaa vya ujenzi hasa mabati ambayo ni reject hapo ni lazima uulize maana kiwanda cha KIOO LTD kipo ndani kidogo.
 
Hiki ni kiwanda kina husika na utengezaji wa chupa, kilikuwa kina milikiwa na marehemu Chande. Kipo nyuma ya kiwanda cha mabati Alaf, pia kina pakana na kiwanda cha Nondo Kamali Steel.
Kama unapanda daladala shuka kituo cha Vetenary (mapambano) eneo maarufu ambapo wanauza vifaa vya ujenzi hasa mabati ambayo ni reject hapo ni lazima uulize maana kiwanda cha KIOO LTD kipo ndani kidogo.
Ok shukrani

sent using bombadia
 
Haya maswali muulize mdogo wako, aliombaje kazi, tangazo la kazi aliliona wapi, alitumia njia gani ya mawasiliano au anuani katika kuomba hiyo kazi, kama ni email au alipeka moja kwa moja.

Kwenye bango la tangazo la kazi, kampuni yoyote ile hua inaanza na utangulizi kuhusu hiyo kampuni, je kwenye tangazo la kazi hakuona kampuni inahusika na nini?

Ukipata majibu ya hayo maswali kama hutaridhika ndio ulete hapa dawau wakusaidie.

Kumbuka, Kama kampuni inatumia email ila inatumia public domain kama gmail, yahoo hizo uwe nazo makini, 98% hua ni matapeli. Kingine jina tula kampuni linaweza kukupa mashaka, kioo? Alafu ukiona wanasema sijui international pia hao ni matapeli
Mtoa mada ayo yote anayajua lakini anataka kuijua kampuni kiundani zaidi anaefanya kazi Apo atakua na mengi zaidi wewe kama ni mtu wa kazi utaelewa Nini kamaanisha.
 
Niambie ameomba position gani nikusaidie estimation ya mshahara hyo sehem naijua hata last month nilienda kufanya interview pale.
Mkuu ndugu yangu ametuma tu cv yake, ila wamemuita kwenye enterview ila position hajaambiwa

Amesomea degree ya computer na ameambiwa aende na peni
 
Mkuu ndugu yangu ametuma tu cv yake, ila wamemuita kwenye enterview ila position hajaambiwa

Amesomea degree ya computer na ameambiwa aende na peni
Ndio staili yao hyo huwa hawasemi position waliyokuitia.
Ila kwa Engineers wenye degree huwa salary yao inacheza arround 1.2M ila sijajua watu wa ofisini wanalipwaje.
 
Mmiliki wake Ni marehemu Sir Andy Chandy alikua mwenyekiti wa Freemason Tanzania
 
Vitanzania kwa kiherehere bwana,, yaani haviwezi kuelekeza tu Mara moja mpaka vikuchambue wee! Hivi kama.mtu hapajui mahali kuna ubaya gani ukikaa kimya? Angalau wewe mkuu umempa pa kuanzia, sasa sijui kama hiyo ni Keko au Chang'ombe ile. Aende maeneo hayo barabara inaitwa Saza kama sikosei. Akiwa na barabara ya Nelson Mandela akiwa anaelekea Chang'ombe ashukie Oil Com mbele kidogo ya VF Mistry. Akiwa hapo aulize hata mtoto mdogo Kioo limited ataoneshwa.
Pumbav
 
Back
Top Bottom