Anayefurahia kinachoendelea Dodoma ajipime kwanza!

Anayefurahia kinachoendelea Dodoma ajipime kwanza!

Kama walimbabua Mh. Lowasa bila ganzi watashindwaje kuvibabua vidagaa vyao?
Ngoja ccm ife tuanze upya kwani kuanza sio kosa
 
Nikutahadharishe tu kubabuka kwa wana ccm kuna andaa mazingira ya kubabuliwa wewe .
Labda tu tukukumbushe kuwa, alivyoanza kunyanyasa vyama vya upinzani Tundu Lissu aliwaonya nyie ma CCM msinyamaze kwa kuona wanayofanyiwa upinzani, siri ya dikteta uchwara ni kwamba akimaliza na upinzani atarudi kwenye chama chake.....
 
Bwana fisi, mtaalamu wa mizoga al maarafu kama Mbowe macho yapo kodo anazodoa kila kona achukue mzoga upi usio na harufu kali.
 
Back
Top Bottom