Anayefahamu ubora wa vifaa vya Sundar

Tafuta pro solar atleast wako vizuri hasa kwenye bettery.

Ila ushauri wangu ni huu:-

Panel nunua sundar
Bettery nunua pro solar
Bettery charge controll nunua sundar

Hapo utatumia vizuri tu

Sundar shida yao ni bettery ni mbovu sana.

Kama hutojari nenda mobisol ambao sasa wanaitwa mysol kanunue mtambo wa kuanzia watt 80 kwenda juu (tsh 2000000+), usichukue mitambo ya chini ya watt 80, haipo vizuri.
Prosolar ipo poa sana aisee, sema solar zao ni ghari sana.
 
Zipo njia nyingi Sana za kupata umeme ukiwa off-grid.
Naomba kuuliza.
Ninaishi kijijini na nina Solar watt 80+80=160 watt pamoja na battery N100, Inverter watt 200 ambapo nina pc, printer, tv na king'amuzi na vyote inasukuma, je' nataka ninunue Lamination machine kwa hiyo Battery N100 itamudu kweli?
 
Naomba kuuliza.
Ninaishi kijijini na nina Solar watt 80+80=160 watt pamoja na battery N100, Inverter watt 200 ambapo nina pc, printer, tv na king'amuzi na vyote inasukuma, je' nataka ninunue Lamination machine kwa hiyo Battery N100 itamudu kweli?
Sina utaalamu sana kuhusu umeme wa solar but inawezekana kwa wataalamu.
 
Ongeza btry wewe
Njoo nikupe btry 160N iliyotumika kwny mnara achana btry vimeo za huko madukani
Mimi sio muhitaji,pili Mimi uogopa Sana vitu used,ununua dukani vyenye warranty.Uhakika wake upoje vya minara je kama vimeibiwa huko uoni ni kununua kesi
 
Mimi sio muhitaji,pili Mimi uogopa Sana vitu used,ununua dukani vyenye warranty.Uhakika wake upoje vya minara je kama vimeibiwa huko uoni ni kununua kesi
Nitangaze hadharani kitu cha wizi haya kanunua hizo sundar zenye warranty boss
 
Used Ina guarantee gani
Mkuu kwani sundar ina guarantee gani maana ustake kudanganya raia humu mavifaa ya solar ya sundar yana warranty gani iweke hapa hiyo warranty tuione sote ni muda gani au kwa vile mnaandikiwa miaka 5 nk ndo warranty hiyo eeeh. Btry iliyotumika kwny mnara used ambayo bado iko vzuri huwez linganisha na hayo mabetry yako ya sundar uliza wanaojua btry.
 
Mkuu kwani sundar ina guarantee gani maana ustake kudanganya raia humu mavifaa ya solar ya sundar yana warranty gani iweke hapa hiyo warranty tuione sote ni muda gani au kwa vile mnaandikiwa miaka 5 nk ndo warranty hiyo eeeh. Btry iliyotumika kwny mnara used ambayo bado iko vzuri huwez linganisha na hayo mabetry yako ya sundar uliza wanaojua btry.
Kwamba kifaa kilichotumika kikaoneka kimepoteza ufanisi wake kisha kikatolewa kisitumike tena(dumped) kiwe sawa na kitu kipya kutoka dukani? I can't believe it!
 
Kuna mkataba nimeutuma unaonyesha malipo yanavyokua.

Unaweza kununua mtambo wa taa pekee au mtambo wa taa na TV.

Ukinunua mtambo wa taa pekee utaanzia malipo ya awali ya 50,000 na utalipia 1800 kwa siku na itaamount kwenye 54,000 kwa mwezi. Hii 1800 inalipwa kwa siku 500. Jumla ya pesa yote inakua 950,000.

Ukinunua mtambo wa taa na TV unaanza malipo ya awali ya 110,000 na utakua unalipia 4000 kwa siku, kwa jumla ya siku 500. Jumla ya pesa itakayolipwa ni 2,110,000.

Kwa wateja ambao wapo karibu huduma ya kufungiwa inakua rahisi zaidi.
950 mtambo wa watts ngapi na battery la ukubwa gani na technology gani ipo kwa battery Ni sealed lead acid ama lithium type

Hio pesa Ni ndefu sana
 
Mkuu kwani sundar ina guarantee gani maana ustake kudanganya raia humu mavifaa ya solar ya sundar yana warranty gani iweke hapa hiyo warranty tuione sote ni muda gani au kwa vile mnaandikiwa miaka 5 nk ndo warranty hiyo eeeh. Btry iliyotumika kwny mnara used ambayo bado iko vzuri huwez linganisha na hayo mabetry yako ya sundar uliza wanaojua btry.
Ni sawa na battery ikitolewa kwa PC imechoka hio battery huwezi fananisha na Chinese mpya Bado zile za pc zitakuwa imara nzuri zaidi
Ni sawa na ukanunue Tecno mpya ya laki nne au hio pesa ununue used Samsung A51 ya 2019

Jibu Ni kuwa hio Samsung itakuwa poa zaidi
 
Mwenye uhitaji wa BETRI ZILIZOTUMIKA KWENYE MINARA ninazo.
Usafiri kwa kahama, Singida,Dodoma, morogoro, Mwanza, geita bure mpaka inakufikia no utapeli ushahidi upo kwa wateja wote waliozipata.

BETRI ni 160N/ah
BEI 330,000.

0629945110.
Bukoba.
Picha ya battery ,

Unavomwambia mtu una battery ya size flani provide some information kuhusiana na battery hata watengenezaji huandika maneno Kama 12v 50Ah lifepo4, au 12v 50Ah sealed lead acid
 
Nashukuru kwa ushauri wenu kwa sasa ninaburudika,nilinunua betri ya sola aina ya RITAR 80 Ah ya Vietnam na Panel ya BP SOLAR(niliuziwa na rafiki yangu,iliyotumika miaka10)140watt. TV ya chogo masaa 4,taa 4 @ 1watt,kuchaji Smartphone 3 bado moto haujaisha.Sasa nina mpango wa kununua Flat Screen Tv kupunguza mzigo hasa siku ambayo jua halikuwaka vizuri asante kwa cyber ghost
Tv ya chogo ndo inafyeka umeme hapo ukinunua flat utaweza kuwasha masaa 8
 
Nitangaze hadharani kitu cha wizi haya kanunua hizo sundar zenye warranty boss
Wewe tapeli upo? Jamani kuweni makini na huyu anauza battery ambazo zinapimwa kilo ili zikafanyiwe recycling tapeli sana huyu.
 
Wana maspika yao makubwa ya kucharge. Hapa shuleni kwetu tulinunua kwa ajili ya kusaidia kuongea kwenye mikutano na wazazi au school baraza. Moja lilifanya kazi kwenye tukio moja baada ya hapo likabuma. Tukarudisha kubadilisha. Hilo la pili nalo likabuma wakati wa kufanya testing.
Kwa upande wa haya maspika nadhani hayana ubora mkubwa.
 
Back
Top Bottom