Anayefahamu sifa za mabinti wa kisukuma

Anayefahamu sifa za mabinti wa kisukuma

Ni wapole, wanaheshima za usoni, ila ni wataalam wa kuchepuka kwa usirl mkubwa..
 
Kwa uelewa wangu kwa kua ni dada zangu hawana shida hasa wasukuma wa mwanza,wana sifa njema katika swala zama la mahusiano mpaka ndoa,ila upande wa sukuma ya Bariadi ndo pana utata,full wababe na kujiona kwingi,hao kwa kweli ni tagizo hata kama mtu mwingine anaweza kuwalemba kwa maneno lakini ukweli unabaki pale pale
 
Wakati wa majambozi huwa wanatulia tuli ili umuwoweee!!! eti hiyo ni heshima

Labda hao wanaotulia ni wa zamani...lakin hawa wadada wa cku hizi wa kisukuma ni seleka mno kunako 6×6
 
wanajua kuloga sasa we ukishazijua tabia zao kama hazjakuridhisha ukaamua kumuacha bint wa watu subiria kulogwa..itapinda iyo haitaingia kwenye K yyte mpaka unazikwa.
 
Mmesahau.
Kuna wasukuma wanawake wanaoua waume zao pale wanapoona mtoto wa kiume kawa mkubwa.
 
Back
Top Bottom