1st I diclare interest.
Mimi ni msukuma.
KWANZA KILA KABILA LINA WATU WA AINA ZOTE.
japo msukuma mkorofi hawezi kulingana na mkurya mkorofi.
Walio wengi na karibia wote ni wapole sana,wavulimivu,wachapakazi,kifupi wana tabia nzuri.
SIMAANISHI HAWAWEZI KUZINI JAPO SIO SIFA YAO.
kwetu hatufanyi tohara KAMA MILA kwa jinsia zote na kwa msingi huo hakuna mafunzo yoyote ya mapenzi kama makabila mengine.
LAKINI UKIMKUTA SI MTAALAMU UNAMWELEKEZA NA MAMBO YANAKUWA SAWA.
pia hali inayolalamikiwa na wengi kuwa wanatulia tu kwenye mechi,ni tatizo ambalo si kubwa sana kwa wakati huu na kwa kiasi kikubwa halipo japo wanaweza wasilingane na waliofundishwa unyagoni nk,wamebadilika mana kelele hizi washazisikia mda mrefu.
MWISHO SI KILA MSUKUMA ANA SIFA ZOTE ZA WASUKUMA.wapo ambao miili yao haiwaruhusu kazi ngumu.
USHAMBA UNAREKEBISHIKA,ILA KAMA NI WA MJINI AMA KASOMA BASI HILI LA USHAMBA HANA.
NB:watu wote wa vijijini bila kujali kabila wanamuonekano wa ushamba.
KWA SWALI LOLOTE NITAJIBU,dada zangu wanisamehe