Neylu
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 2,938
- 1,848
Wasukuma tu watu wazuri,wanyenyekevu,wachapakaz na wavumilivu kifupi tuna sifa nying nzuri,ila pia sometimes tuna kiburi ukitu take for advantage,kuhusu uwanja wa fundi selemara ni uwezo wa mtu kujfunza na wilngnes ya kumfanya mme wake afurah,ivo unaweza kuoa
Nakubaliana sana na wewe hapo nilipo bold..!