Ndug nimeomba msaada kablaLabda kutoboa viatu, maana utatembea sana kutafuta mazuzu wenzako
Ndug nimeomba msaada kablaLabda kutoboa viatu, maana utatembea sana kutafuta mazuzu wenzako
Wadau mwenye utaalamu wa biashara kwa njia ya internet kuna hii kampuni ya q net ambayo inajishunghulisha na biashara kwa njia mtandao. Kuna mdau wangu ananishawishi niingie akinieleza kuwa kunamafanikio ndan ya muda mfupi.
Nimaona kabla sijafanya chochote nipate msaada kwa wanajamii forum wenye uelewa nahili swala. Naomba mnisaidie
JIulize utamuuzia nani yani jiulize una uwezo wa kuwashawishi watu wangapi wajiunge Qnet kwa kununua bidhaa zako zenye kiasi hicho cha ela kumbuka hii ni Pyramid scheme unakula kutokana na walioko chini yakoMwenyewe natafakali bidhaa moja 4000000 +
JIulize utamuuzia nani yani jiulize una uwezo wa kuwashawishi watu wangapi wajiunge Qnet kwa kununua bidhaa zako zenye kiasi hicho cha ela kumbuka hii ni Pyramid scheme unakula kutokana na walioko chini yako

GoodmornigUkiitwa sana kwenye fursa, jua wewe ndo fursa. Kwenye pesa hawaitani.
#Goodmorning![]()

Wadau mwenye utaalamu wa biashara kwa njia ya internet kuna hii kampuni ya q net ambayo inajishunghulisha na biashara kwa njia mtandao. Kuna mdau wangu ananishawishi niingie akinieleza kuwa kunamafanikio ndan ya muda mfupi.
Nimaona kabla sijafanya chochote nipate msaada kwa wanajamii forum wenye uelewa nahili swala. Naomba mnisaidie
Asanty kwa msaada wakoKuna Watu wengine huwa ' mnakera ' hadi mnataka tu Kulazimisha wengine wachume dhambi kwa majibu yao. Kama kuna Mtandao ambao Members wake wengi wameshaanzisha ' threads ' nyingi sana za Kuihusu hiyo Kampuni ya Q Net basi ni huu wa JamiiForums hivyo nilidhani Kwanza kabla ya Kuanzisha huu ' Uzi ' basi ungepitia huko uzisome na uridhike nazo kwakuwa huko Watu wamefunguka ' kinomanoma ' kuhusiana nao.
Qnet naomba pesa yangu milioni 5, nimenunua saa mpaka sasa najuta kuwafahamu.. - JamiiForumsWadau mwenye utaalamu wa biashara kwa njia ya internet kuna hii kampuni ya q net ambayo inajishunghulisha na biashara kwa njia mtandao. Kuna mdau wangu ananishawishi niingie akinieleza kuwa kunamafanikio ndan ya muda mfupi.
Nimaona kabla sijafanya chochote nipate msaada kwa wanajamii forum wenye uelewa nahili swala. Naomba mnisaidie
Wadau mwenye utaalamu wa biashara kwa njia ya internet kuna hii kampuni ya q net ambayo inajishunghulisha na biashara kwa njia mtandao. Kuna mdau wangu ananishawishi niingie akinieleza kuwa kunamafanikio ndan ya muda mfupi.
Nimaona kabla sijafanya chochote nipate msaada kwa wanajamii forum wenye uelewa nahili swala. Naomba mnisaidie
Wadau mwenye utaalamu wa biashara kwa njia ya internet kuna hii kampuni ya q net ambayo inajishunghulisha na biashara kwa njia mtandao. Kuna mdau wangu ananishawishi niingie akinieleza kuwa kunamafanikio ndan ya muda mfupi.
Nimaona kabla sijafanya chochote nipate msaada kwa wanajamii forum wenye uelewa nahili swala. Naomba mnisaidie
.
Note: Hayo niliyosema nimeelezewa na sista lkn bado sijaprove, kama kuna mtu ambaye tayari ni member aje atuthibitishie
HAPO UMENIFURAHISHA
Naomba kuwauliza wana Jf kama kuna mtu amesha wahi kusikia lolote kuhusiana na hii biashara ya Q-NET anielezee. Kwasababu hivi karibuni kuna ndugu yangu ameniomba nimkopeshe hela kias cha shilingi milioni moja ili aweze kujiunga na hii bishara.
Nilitaka kujua kwanza inahusiana na nini. Alini elezea kifupi kwamba ni biashara unayo jiunga kwa kiasi cha shilingi milioni 3 ambapo ukisha jiunga kuna points unapata za kuanzia, na pia kuna products mbalimbali kama elimu, holidays, kununua vitu kama saa na vingine.
Sasa ishu ni kwamba mimi nna wasiwasi na hiyo biashara yenyewe wanaiita Q-NET, sijawahi isikia mahali na nahisi ni kama hizi biashara nyingine kama za kina Rifaro na kina GNLD na forever living
na pili sina uhakika kama ataweza nirudishia hiyo pesa pindi itakapo gundulika kama ni utapeli.
Nimejaribu kumshauri aachane nayo lakini amekua akisisitiza nimpatie hiyo pesa kwasababu ni biashara itakayo imlipa Vizuri na atanirudishia ndani ya mwezi mmoja.
Naomba mwenye ufahamu wa hii business inayo fahamika kama Q-NET anifafanulie.