Anayefahamu kuhusu biashara ya Q-Net

Anayefahamu kuhusu biashara ya Q-Net

Wadau mwenye utaalamu wa biashara kwa njia ya internet kuna hii kampuni ya q net ambayo inajishunghulisha na biashara kwa njia mtandao. Kuna mdau wangu ananishawishi niingie akinieleza kuwa kunamafanikio ndan ya muda mfupi.
Nimaona kabla sijafanya chochote nipate msaada kwa wanajamii forum wenye uelewa nahili swala. Naomba mnisaidie

Kama kakuambia ndani ya mda mfupi mkatae, faida itakuja baada ya mda mrefu wa kutokata tamaa, otherwise nunua kigari namba c au d kwa milioni fanya uber, amekulaghai
 
JIulize utamuuzia nani yani jiulize una uwezo wa kuwashawishi watu wangapi wajiunge Qnet kwa kununua bidhaa zako zenye kiasi hicho cha ela kumbuka hii ni Pyramid scheme unakula kutokana na walioko chini yako
 
Wadau mwenye utaalamu wa biashara kwa njia ya internet kuna hii kampuni ya q net ambayo inajishunghulisha na biashara kwa njia mtandao. Kuna mdau wangu ananishawishi niingie akinieleza kuwa kunamafanikio ndan ya muda mfupi.
Nimaona kabla sijafanya chochote nipate msaada kwa wanajamii forum wenye uelewa nahili swala. Naomba mnisaidie

Kuna Watu wengine huwa ' mnakera ' hadi mnataka tu Kulazimisha wengine wachume dhambi kwa majibu yao. Kama kuna Mtandao ambao Members wake wengi wameshaanzisha ' threads ' nyingi sana za Kuihusu hiyo Kampuni ya Q Net basi ni huu wa JamiiForums hivyo nilidhani Kwanza kabla ya Kuanzisha huu ' Uzi ' basi ungepitia huko uzisome na uridhike nazo kwakuwa huko Watu wamefunguka ' kinomanoma ' kuhusiana nao.
 
Kuna Watu wengine huwa ' mnakera ' hadi mnataka tu Kulazimisha wengine wachume dhambi kwa majibu yao. Kama kuna Mtandao ambao Members wake wengi wameshaanzisha ' threads ' nyingi sana za Kuihusu hiyo Kampuni ya Q Net basi ni huu wa JamiiForums hivyo nilidhani Kwanza kabla ya Kuanzisha huu ' Uzi ' basi ungepitia huko uzisome na uridhike nazo kwakuwa huko Watu wamefunguka ' kinomanoma ' kuhusiana nao.
Asanty kwa msaada wako
 
unaweza ukatoboa mtu kupitia hiyo kampuni
 
Wadau mwenye utaalamu wa biashara kwa njia ya internet kuna hii kampuni ya q net ambayo inajishunghulisha na biashara kwa njia mtandao. Kuna mdau wangu ananishawishi niingie akinieleza kuwa kunamafanikio ndan ya muda mfupi.
Nimaona kabla sijafanya chochote nipate msaada kwa wanajamii forum wenye uelewa nahili swala. Naomba mnisaidie

Mkuu amini kabisa utatobolewa badala ya kutoboa ukiingia q net
Good morning
Kama huna kazi ya kufanya nenda
 
Wadau mwenye utaalamu wa biashara kwa njia ya internet kuna hii kampuni ya q net ambayo inajishunghulisha na biashara kwa njia mtandao. Kuna mdau wangu ananishawishi niingie akinieleza kuwa kunamafanikio ndan ya muda mfupi.
Nimaona kabla sijafanya chochote nipate msaada kwa wanajamii forum wenye uelewa nahili swala. Naomba mnisaidie

Yeye kashafanikiwa?
 
Habarini,bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada,kwa nini walimu wengi wamekamatwa na Qnet wakati hali zao za maisha zikiongezeka kwa tight

Majibu yenu yatasaidia kuwakomboa au kuwaumiza walimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kuwauliza wana Jf kama kuna mtu amesha wahi kusikia lolote kuhusiana na hii biashara ya Q-NET anielezee. Kwasababu hivi karibuni kuna ndugu yangu ameniomba nimkopeshe hela kias cha shilingi milioni moja ili aweze kujiunga na hii bishara.

Nilitaka kujua kwanza inahusiana na nini. Alini elezea kifupi kwamba ni biashara unayo jiunga kwa kiasi cha shilingi milioni 3 ambapo ukisha jiunga kuna points unapata za kuanzia, na pia kuna products mbalimbali kama elimu, holidays, kununua vitu kama saa na vingine.

Sasa ishu ni kwamba mimi nna wasiwasi na hiyo biashara yenyewe wanaiita Q-NET, sijawahi isikia mahali na nahisi ni kama hizi biashara nyingine kama za kina Rifaro na kina GNLD na forever living
na pili sina uhakika kama ataweza nirudishia hiyo pesa pindi itakapo gundulika kama ni utapeli.

Nimejaribu kumshauri aachane nayo lakini amekua akisisitiza nimpatie hiyo pesa kwasababu ni biashara itakayo imlipa Vizuri na atanirudishia ndani ya mwezi mmoja.

Naomba mwenye ufahamu wa hii business inayo fahamika kama Q-NET anifafanulie.

GOOD MORNING SIR?
😂😂😂😂😂😂

Hata iwe Usiku salamu NI Good Morning, Iwe JIONI salamu yao NI hiyo hiyo Good Morning.

Ukiwaangalia vizuri NI kamA watu wamefyatuliwa akili!!!!

Wanayoeleza NI tofauti na uhalisia wenyewe!!! Mf mtu anakwambia anapokea milioni mbili kwa wiki Lakini ukimwangalia mavazi Yake, Siha ya ngozi Yake NI Kama yangu ninayeshindia pande la Muhogo !!!!!

Kwa kweli inahitaji nguvu za ziada kuamini wakisemacho!!
 
Back
Top Bottom