Nyam
Senior Member
- Jul 9, 2012
- 134
- 72
Na maneno yote haya yanakuwepo kwa sababu changamoto kubwa ya kujoin ni pesa....Semeni ivo sio mnaanza kuleta habari za utapeli na mengine mengi...Ndo mana nasema, wote humu mnaoiponda Qnet ni hamuifahamu laiti kama mngekuwa mnaijua mngepambana mkajoin..
Nimesema aliyetapeliwa ajitokeze ajieleze ametapeliwa vipi??