Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Mkuu Ndahani, utaniponza!, sisi waandishi wa habari ni akina Tomaso !, huwa hatuamini mpaka tushuhudie!, usinifanye niendeleze "the search!" mpaka mwisho wa siku nzi akafia kwenye kidonda!, wengine hao wepi?!.
Pasco
Haaaahaaaa....Mama watoto akisoma haya unayoandika lazima aite kikao cha ukoo. Kama ujawahi bahati mbaya...ila hawa wa pwani hawakutimiza malengo kwani?