DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,931
- 2,141
Salam.
Kuna rafiki yangu mmoja ni mfanyakazi wa umma.
Miaka 5 iliyopita alichukua mkopo bank x.
Baada ya serikali kuleta mfumo mpya wa ESS akakuta bank x haipo kwenye orodha ya Mankato kwenye mshahara wake.
Aka Kaa kama miez 6 hivi akaamua kukopa kwenye bank nyingine yaani bank y.
Siku ya siku bank x wakarudi kufanya Makato yao, ile kuingia ikashindikana.
Ikawalazimu bank x kumkata marejesho kupitia mshahara wa ( take home).
Sasa bank x ilimripoti CRB na wamekua wakiendelea kukata mkopo wao kwa miaka miwili sasa.
Changamoto.
Mshikaji anashida ya hela, bank y inauwezo wa kumkopesha lakini kizingiti kipo kwa bank x ambao wamem-blacklist.
Amejaribu kuwasiliana na bank x, wamegoma kumtoa black list..
Je, afanyaje Ili bank y impatie mkopo?
Je ni halali bank x kuendelea kumblacklist mtu anaye rejesha mkopo?
Kiufupi haelewi lipi ni lipi na shida imembana.
Bank x anamkopo nao utakaoisha miaka 3 ijayo.
Nawasilisha kwa niaba.
Kuna rafiki yangu mmoja ni mfanyakazi wa umma.
Miaka 5 iliyopita alichukua mkopo bank x.
Baada ya serikali kuleta mfumo mpya wa ESS akakuta bank x haipo kwenye orodha ya Mankato kwenye mshahara wake.
Aka Kaa kama miez 6 hivi akaamua kukopa kwenye bank nyingine yaani bank y.
Siku ya siku bank x wakarudi kufanya Makato yao, ile kuingia ikashindikana.
Ikawalazimu bank x kumkata marejesho kupitia mshahara wa ( take home).
Sasa bank x ilimripoti CRB na wamekua wakiendelea kukata mkopo wao kwa miaka miwili sasa.
Changamoto.
Mshikaji anashida ya hela, bank y inauwezo wa kumkopesha lakini kizingiti kipo kwa bank x ambao wamem-blacklist.
Amejaribu kuwasiliana na bank x, wamegoma kumtoa black list..
Je, afanyaje Ili bank y impatie mkopo?
Je ni halali bank x kuendelea kumblacklist mtu anaye rejesha mkopo?
Kiufupi haelewi lipi ni lipi na shida imembana.
Bank x anamkopo nao utakaoisha miaka 3 ijayo.
Nawasilisha kwa niaba.