Anatembea na babake!

sammie

Member
May 11, 2010
15
0
Kuna binti anatoka na babaye, anadai "dingiye" aliomba aonje malezi yake eti naye alikubali. Sasa hivi analelewa na"dingiye" kama nyumba ndogo. Baada ya watu kumsema sana anaomba ushauri mimi. Wana JF naomba mnisaidie nimwambie nini huyu "shosti".:glasses-nerdy::mad2::eyeroll2:
 
Kuna binti anatoka na babaye, anadai "dingiye" aliomba aonje malezi yake eti naye alikubali. Sasa hivi analelewa na"dingiye" kama nyumba ndogo. Baada ya watu kumsema sana anaomba ushauri mimi. Wana JF naomba mnisaidie nimwambie nini huyu "shosti".:glasses-nerdy::mad2::eyeroll2:

Nipe contacts zake, nina tiba nzuri sana ya kisaikolojia!
 
mwambie aaachane na uchafu huo, amrudie Mungu naye atamsamehe kwasababu Mungu anasamehe dhambi zote hata kama ni nyekundu kama damu. lakini kam ahatafanya hivyo, mwambie laana na aibu kubwa iko mbele yake, na moto wa jehanum juu. only animals can do that, wanadamu wanaofanya hivyo tuwaeleweje?
 
anadai dingi kamwambia akithubutu kumuacha atamuua.

Ana umri gani? Na je bado anaishi na baba yake? Hawezi kumuua, hivyo ni vitisho tu! Au naye kama kanogewa aseme siyo kutoa visingizio. Halafu ilikuwaje akakubali kirahisi namna hiyo kutembea na baba yake mzazi? Huyo baba ana watoto wangapi wa kike na ana wake wangapi? Maswali mengi sana najiuliza sipati jibu.
 
Nina uhakika huyo binti huwa anajisikia vibaya mara anapomalizana na baba yake. huyo baba firauni laakum mjaa laana.

Binti anatakiwa awe na nia na msimamo wa kumwacha huyo baba kwanza ahame hiyo nyumba alopangishiwa /wekwa kimada na babake kisha arudishe vyovyote alivyopewa kwa jina la mapenzi kisha amweleze its over akigoma naye amtishie atamlipua kwa wazee au ndugu zake.
 
Yaani hadi leo hujamwambia kuwa hiyo ni incest na ni dhambi ya mauti? Watu wengine bana, ushauri, ushauri hata kwa vitu visivyohitaji ushauri.
 
Ana umri gani? Na je bado anaishi na baba yake? Hawezi kumuua, hivyo ni vitisho tu! Au naye kama kanogewa aseme siyo kutoa visingizio. Halafu ilikuwaje akakubali kirahisi namna hiyo kutembea na baba yake mzazi? Huyo baba ana watoto wangapi wa kike na ana wake wangapi? Maswali mengi sana najiuliza sipati jibu.

kamanda, usishangae pengine mdingi umepima dna umeona kwamba hako kamtoto sio wake ndio kanafanya hayo, but kwa hali yoyote iwayo huo mdingi kama hautaki kuacha huo mchezo basi unastahili kurembewa mitama.(hapa hasheem thabit anahitajika)

ushauri:hako kamtoto kaambie katimue haraka kabla hakajabeba ujauzito wa faza wake.
 
leo hapa panaboa mada zimegeukia kushoto ni mtoto gani huyo asiyejua jema na baya??????????
 
Nina uhakika huyo binti huwa anajisikia vibaya mara anapomalizana na baba yake. huyo baba firauni laakum mjaa laana.

Binti anatakiwa awe na nia na msimamo wa kumwacha huyo baba kwanza ahame hiyo nyumba alopangishiwa /wekwa kimada na babake kisha arudishe vyovyote alivyopewa kwa jina la mapenzi kisha amweleze its over akigoma naye amtishie atamlipua kwa wazee au ndugu zake.

Dah! Hapo kwenye red umeongea kama Bi Kidude.
 
Nina uhakika huyo binti huwa anajisikia vibaya mara anapomalizana na baba yake. huyo baba firauni laakum mjaa laana.

Binti anatakiwa awe na nia na msimamo wa kumwacha huyo baba kwanza ahame hiyo nyumba alopangishiwa /wekwa kimada na babake kisha arudishe vyovyote alivyopewa kwa jina la mapenzi kisha amweleze its over akigoma naye amtishie atamlipua kwa wazee au ndugu zake.

Wazee wa Dar es Salaam wanakula watoto wao (wa kike hasa) kuliko unavyofikiria.

Siui tatizo ni mmomonyoko wa maadili au ni ugonjwa wa akili au ni ushirikina au ni nini sijui.

Ushauri wangu kwa akina mama, waepushe watoto wao wa kike kufanya mazoe na baba zao yaliyopitiliza. Haya mambo ya kupelekana beach kuogelea na kwenye outing za mabaa makubwa yanachangia sana kuharibu jamii. Ninafahamu more than 20 cases za akina baba kufanya zinaa na watoto wao wa kike and the very last incident ilikuwa March this year maeneo ya Airport. Mama alimfumania mme wake "live" akiwa na bintiye ndani ya kumi na nane!

Mama kwa sasa anauguza "stroke" na yule binti ametoweka mjini - Ila i gather kwamba yupo MO-Town na baba bado anaendeleza libeneke!
 
mbona hiyo issue mie naisupport kwa vigezo vyoote vya kimaadili hasa ya dini na pia kwa vigezo vya baiolojia ...ndio...BABA ANAYOHAKI YA KUMLA URODA MWANAE WA KUZAA ...yes...i said n will keep on doin that...
1:- KIDINI....adamu aliumbwa akapewa mwenza eva ..wakazaa watoto wake kwa waume...nao watoto wao wakazaana (hapa kaka alimla dada..and vice versa)...inahusisha pia baba kuwala watoto wa kike pia na wakiume kumla mama yao eva....(habari ndo hiyo)

2:-KIBAIOLOJIA..wanadamu wako katika kundi la wanyama...kama walivyokuwa ngombe mbuzi, sokwe tembo etc...tofauti kati ya mnyama "mwanaadamu" na hawa wengine ni utashi wa kufikiri...no mo no less..sasa hicho kijiutashi hakitoshi kumfanya mnyama huyu "mwanadamu"..kuwa tofauti 100% na wenzake kina sokwe na tembo...so kama tembo anammega mwanae hata mwanaadamu akiwa kama mnyama tembo ni haki yake kummega mwanae...(habari ndio hiyo)
 
Hilo ni kosa la mtoto au la baba?

INATEGEMEA NA UMRI WA BINTI, kama ana Umri wa kutosha kujua mambo mabaya na mazuri , makosa ni yao wote wawili, lakini kama ndio kanapevuka basi BAba ndi mwenye makosa
 
Wazee wa Dar es Salaam wanakula watoto wao (wa kike hasa) kuliko unavyofikiria.

Siui tatizo ni mmomonyoko wa maadili au ni ugonjwa wa akili au ni ushirikina au ni nini sijui.

Ushauri wangu kwa akina mama, waepushe watoto wao wa kike kufanya mazoe na baba zao yaliyopitiliza. Haya mambo ya kupelekana beach kuogelea na kwenye outing za mabaa makubwa yanachangia sana kuharibu jamii. Ninafahamu more than 20 cases za akina baba kufanya zinaa na watoto wao wa kike and the very last incident ilikuwa March this year maeneo ya Airport. Mama alimfumania mme wake "live" akiwa na bintiye ndani ya kumi na nane!

Mama kwa sasa anauguza "stroke" na yule binti ametoweka mjini - Ila i gather kwamba yupo MO-Town na baba bado anaendeleza libeneke!
mi ctaki jamani!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom