Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Mkuu, you are damn right! tena sio wababa wanaowaanza, vibinti ndo vinajilengesha kwa kujifanya I love you dad??
Kachupi huku, kasketi kule, digi anakumbatiwa anapewa mabusu ya mdomoni....Huwa vinajua kabisa vikimkamatia digi kwenye kona, vitapata kila kitu!! simu kali, kuachiwa gari Prado viendeshe badala ya corola ya maza, hela ya saloon na ya kununua vitop botique hazikati! (sio kununua vitop pale posta mpya).
Mi nawatetea madingi bana!! watoto na style za kizungu zungu!! wanawatega wazee wao, na mama zao tena ndo hawataki kuji-upgrade.
Mpwa wacha maneno yako weye!
Utetezi gani huo; yaani udindishe kisa Mwanao Belinda kaku hug! Arghhhhhhhhhhhhhhhhhhh!
Kama umemzoesha mwanao kutokuwa na limits haya ndo matokeo yake; Mie Jr namwambia live ; Sijalipa DSTv sasa hivi sina hela period! Tangu mdogo anajua kuwa kuna vitu lazima asubiri na kuna vitu kama chakula atavipata wakati wote!