Labdaaa...
Wazee wenye pesa watoto wao wanatakaga kuwaozesha kwenye pesa, kuna jamaa anapitaga pale na anaonekana ana mpunga sana.
Japo sijawahi muuliza bibie yule ni nani kwake ila kimachale tu nahisi mtu wake.
Nitakata kupitia njia hiyo ili nione picha linaishaje au linaendaje. Japo jana tu alinialika super nikamwambia sitawahi kuna sehem naenda nikamhisi kama kajiskia vibaya flani (am not sure sana)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.