Duuh, huyu ni under 15 kabisa, eti mimba ikimpenda atafanana na mtoto atakayezaliwa ,hahaaafinancial services unaitwa huku na wanao
Sio wapenzi mkuu, mimba na ndoa si mpaka kuepo na mapenzi baina ya wawili.
Hahaaa, nimeshangaa yaani mtoto arutubishwe na mtu mwingine huko aje afanane na wewe outsiderAisee.
Mkuu mi under 15?
Sawa.
Mtie mimba alafu tangaza ndoa fasta soon utakuwa baba mwenye duka k/koo hapo
Awewee, sijawahi na sitaki kuamini kabisa,[emoji30]Ina maana hujawahi kuskia bidada ana mimba na kampenda mtu baki na akazaa mtoto akafanana nae mkuu?!
Hata kibailogia inakataaHahaaa, nimeshangaa yaani mtoto arutubishwe na mtu mwingine huko aje afanane na wewe outsider
Sio lazima wewe Mkuu,anaweza kutiwa mimba hata na kaka yako na mtoto akafanana na wewe. Ahahahaaaa.Habari za weekend wana JF.
Kuna mdada mmoja imetokea kuzoeana na tunaishi mitaa ya karibu ( sio mtaa mmoja)
Anauza duka la hardware pale kariakoo la babake (Japo yeye ameniambia baba yao amewagawia biashara watoto wote 4 ye ndio kapewa hiyo maana alikuwa anaisimamia tangu yupo shule)
.
Katika story tulikuwa tunapiga akaniuliza napenda nini kwenye maisha yangu?!!?
....nikamwambia navyopenda (vitu)
Sasa nikamuuliza nae "enhe na wewe unapenda nini?!"
Jibu: napenda nipate mtoto anaefanana na wewe (akacheka kwa aibu).
Nilipomwambia Mungu akujaalie akasema nawe pia akujaalie.
Najiuliza ili apate mtoto anaefanana na mimi si inabidi mimba yake inipende ambayo itakuwa ni out of her control.
Kumbuka sio wapenzi ( just mazoea na nahisi ana mchumba ambae ni mfanyabiashara mwenzake)
Hahaaa, haingii akilini mtoto kufanana na mtu Mwingine ambaye hajahusika kwenye urutubishaji[emoji3]Sasa ukipata mimba jaribu kunipenda mimi uone kama mtoto hatafanana na mimi.