feysher
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 2,656
- 2,775
Ndio yapo.
Unajua watu wanadhani masikhara, hii ni kweli.
Angekuwa singo...kitambo ningeshatupiamo kamba!!
Ana mtu.[/
Hayo maneno inaonekana yamekuumiza kichwa sana mkuu
Ndio yapo.
Unajua watu wanadhani masikhara, hii ni kweli.
Angekuwa singo...kitambo ningeshatupiamo kamba!!
Ana mtu.[/
Hayo maneno inaonekana yamekuumiza kichwa sana mkuu
HahahhahahaMtie mimba alafu tangaza ndoa fasta soon utakuwa baba mwenye duka k/koo hapo
Hakuna kitu kama icho izo ni nadharia tuAkipewa mimba halafu ikanipenda hiyo mimba naskia mtoto anafanania mkuu.
Jiongezeee mkuu hapoAlaaa...nitamuuliza alikusudia nini kusema hivo aisee.
Uje ulete mrejeshoSawa mkuu
Icho nacho ulete mrejesho ila ishu ishaisha hapo tayari nikuchukua kuweka mfanano wa mtoto tuHahahaa..mkuu mpaka nikifanikiwa kumuelewa kwanza alicho maanisha
Sasa shemeji watoto umemuachia kaka awalele kana kwamba umewatupa kabisa yaani hujui hata shule wamefunga au wamefunguaHivi bado shule zimefungwa?
Wenzako walienda ile ijumaa wakatangaziwa mstarini we ulikuwa wapo usisikie hayo matangazo? Acha utoro mkuuShule zinafungua lini?? [emoji849][emoji849]
Tatizo mkuu huu uzi wako umevamiwa na vitoto vitoro havijui shule wanafungua lini mwengine mwanamama hapo juu ametupa watoto hajui shule zimefungwa au zimefunguliwaWe ndio yule kiranja anaewahi shule kuchongea wenzio, subiri utawaona wenzio na mifagio ya chelewa ndio uende[emoji2]
financial services unaitwa huku na wanaoHabari za weekend wana JF.
Kuna mdada mmoja imetokea kuzoeana na tunaishi mitaa ya karibu ( sio mtaa mmoja)
Anauza duka la hardware pale kariakoo la babake (Japo yeye ameniambia baba yao amewagawia biashara watoto wote 4 ye ndio kapewa hiyo maana alikuwa anaisimamia tangu yupo shule)
.
Katika story tulikuwa tunapiga akaniuliza napenda nini kwenye maisha yangu?!!?
....nikamwambia navyopenda (vitu)
Sasa nikamuuliza nae "enhe na wewe unapenda nini?!"
Jibu: napenda nipate mtoto anaefanana na wewe (akacheka kwa aibu).
Nilipomwambia Mungu akujaalie akasema nawe pia akujaalie.
Najiuliza ili apate mtoto anaefanana na mimi si inabidi mimba yake inipende ambayo itakuwa ni out of her control.
Kumbuka sio wapenzi ( just mazoea na nahisi ana mchumba ambae ni mfanyabiashara mwenzake)
Akazae na baba yako kama upo???Habari za weekend wana JF.
Kuna mdada mmoja imetokea kuzoeana na tunaishi mitaa ya karibu ( sio mtaa mmoja)
Anauza duka la hardware pale kariakoo la babake (Japo yeye ameniambia baba yao amewagawia biashara watoto wote 4 ye ndio kapewa hiyo maana alikuwa anaisimamia tangu yupo shule)
.
Katika story tulikuwa tunapiga akaniuliza napenda nini kwenye maisha yangu?!!?
....nikamwambia navyopenda (vitu)
Sasa nikamuuliza nae "enhe na wewe unapenda nini?!"
Jibu: napenda nipate mtoto anaefanana na wewe (akacheka kwa aibu).
Nilipomwambia Mungu akujaalie akasema nawe pia akujaalie.
Najiuliza ili apate mtoto anaefanana na mimi si inabidi mimba yake inipende ambayo itakuwa ni out of her control.
Kumbuka sio wapenzi ( just mazoea na nahisi ana mchumba ambae ni mfanyabiashara mwenzake)
Akazae na baba yako kama upo???