Anataka tuachane, kisa simridhishi

Anataka tuachane, kisa simridhishi

scientificall

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2015
Posts
460
Reaction score
360
Habari gani wana JF,

Nlkua na binti nilimpendanae akanipenda mapenzi yalipokolea akaamua kua ananiachia uwanja nipige kabombo kama kawaida kwani mimi ndo nilpuliza kipenga cha kwanza katika uwanja mpya naye sema kweli alikubali mchezo kiasi kwamba akanipa na penaliti za kutosha.

Mgegedo wa kwanza kwake aliufurahia kiasi ambacho alitaka nimuoe, siku hio kazi ziliendelea kama kawaida na yeye akanipa ratiba ya kupiga mechi mara 3 kwa wiki, lakini akinionya niwe makini nisije nikampa mimba kwani angeweza chinjwa na baba yake.

Namimi nikalegeza kamba kwani kwa hamu naliyokua nayo sikufanya nae sana mapenzi, mara muda wa kwenda masomoni ulipo karibia akanitumia ujumbe kuwa mimi si mridhishi na hisia zetu haziendani nakutaka tuachane, iliniuma sana sikulala usiku kucha kwani nilipromiss nitamuoa baada ya masomo.

Nikajuta kua bora ningefanya nae mapenzi kwa ustadi, mpaka sasa tunasalimiana tu kwa simu na anasema ameshapata mwingine na picha kanitumia. Nifanyenini na bado nampenda?

Ushauri wenu wakuu
 
Barua yako nimechana haieleweki andika upya kama unataka ushauri.
 
habar gan wana JF
Nlkua na binti nlimpenda nae akanipenda mapenz yalipo korea akaamua kua ananiachia uwanja npke kabombo kama kawaida kwan mm ndo nlpuliza kipenga cha kwanza ktk uwanja mpya nae sema kwel alkubal mchezo kias kwamba akanipa na penarit za kutosha mgegedo wa kwanza kwake aliufurahia kias ambacho altaka nmuoe ck hio mishe ziliendelea kama kawa, na yy akanpa ratba ya kupga mech mara 3 kwa wk lkn akinionya niwe makin nsje nkampga mimba kwan angeweza chnjwa na mshua wake.nam nkalegeza kamba kwan kwa mzka nlokua nao suary ngmpga kmmba ,,,,,,,,,, Mara mack ya kwenda masomn yalpo karbia akantumia ujumbe kua mm c mridhish na hisia zetu haziendan nakutaka tuachane iliniuma sana ckulala uck kucha kwan nlpromc ntamuoa after masomo......nkajuta kua bora ngempga kitoto na angekoma .mpaka sasa tunasalmiana tu kwa sim na anasema ameshapata mwngne na pcha kantumia . nfanye nn na bado nampnda? ushaur wenu wakuuuuuu.

Korea ya Kaskazini au Kusini?

Hivi shule zimefungwa?
 
Huo uandishi wako hapa sio mahali pake, hiyo story yako peleka facebook kwa teenager wenzako, huko watauelewa huo mtindo wako wa kuandika, hapa hapana.

Tiba
 
Duuuuh! Tz kazi ipo!
Tuliza kichwa mdogo wangu! Kwa uandishi huu wewe bado sanaaaaaaaa ! !
 
Hahahahaha kwa mwandiko huu nunua tu panadol nyingi za jumla kupunguzia maumivu yako
 
habar gan wana JF
Nlkua na binti nlimpenda nae akanipenda mapenz yalipo korea akaamua kua ananiachia uwanja npke kabombo kama kawaida kwan mm ndo nlpuliza kipenga cha kwanza ktk uwanja mpya nae sema kwel alkubal mchezo kias kwamba akanipa na penarit za kutosha mgegedo wa kwanza kwake aliufurahia kias ambacho altaka nmuoe ck hio mishe ziliendelea kama kawa, na yy akanpa ratba ya kupga mech mara 3 kwa wk lkn akinionya niwe makin nsje nkampga mimba kwan angeweza chnjwa na mshua wake.nam nkalegeza kamba kwan kwa mzka nlokua nao suary ngmpga kmmba ,,,,,,,,,, Mara mack ya kwenda masomn yalpo karbia akantumia ujumbe kua mm c mridhish na hisia zetu haziendan nakutaka tuachane iliniuma sana ckulala uck kucha kwan nlpromc ntamuoa after masomo......nkajuta kua bora ngempga kitoto na angekoma .mpaka sasa tunasalmiana tu kwa sim na anasema ameshapata mwngne na pcha kantumia . nfanye nn na bado nampnda? ushaur wenu wakuuuuuu.
Hata kuandika kiswahili hujui, mchafuzi wa lugha wewe hufai ndio maana uliachwa.Yawezekana ni mchafuzi wa mabo yote
 
Anti lydia aje hapa ampe maushauri mkaka
 
Huku kwetu kila njia ukipita naona vibinti na tuvijana twingiii..
Nahisi shule zimefungwa na huyu ni mmoja wao..
Kijana nakushauri rudi huko facebook, akili ikikaa sawa then urudi tena😡
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom