scientificall
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 460
- 360
Habari gani wana JF,
Nlkua na binti nilimpendanae akanipenda mapenzi yalipokolea akaamua kua ananiachia uwanja nipige kabombo kama kawaida kwani mimi ndo nilpuliza kipenga cha kwanza katika uwanja mpya naye sema kweli alikubali mchezo kiasi kwamba akanipa na penaliti za kutosha.
Mgegedo wa kwanza kwake aliufurahia kiasi ambacho alitaka nimuoe, siku hio kazi ziliendelea kama kawaida na yeye akanipa ratiba ya kupiga mechi mara 3 kwa wiki, lakini akinionya niwe makini nisije nikampa mimba kwani angeweza chinjwa na baba yake.
Namimi nikalegeza kamba kwani kwa hamu naliyokua nayo sikufanya nae sana mapenzi, mara muda wa kwenda masomoni ulipo karibia akanitumia ujumbe kuwa mimi si mridhishi na hisia zetu haziendani nakutaka tuachane, iliniuma sana sikulala usiku kucha kwani nilipromiss nitamuoa baada ya masomo.
Nikajuta kua bora ningefanya nae mapenzi kwa ustadi, mpaka sasa tunasalimiana tu kwa simu na anasema ameshapata mwingine na picha kanitumia. Nifanyenini na bado nampenda?
Ushauri wenu wakuu
Nlkua na binti nilimpendanae akanipenda mapenzi yalipokolea akaamua kua ananiachia uwanja nipige kabombo kama kawaida kwani mimi ndo nilpuliza kipenga cha kwanza katika uwanja mpya naye sema kweli alikubali mchezo kiasi kwamba akanipa na penaliti za kutosha.
Mgegedo wa kwanza kwake aliufurahia kiasi ambacho alitaka nimuoe, siku hio kazi ziliendelea kama kawaida na yeye akanipa ratiba ya kupiga mechi mara 3 kwa wiki, lakini akinionya niwe makini nisije nikampa mimba kwani angeweza chinjwa na baba yake.
Namimi nikalegeza kamba kwani kwa hamu naliyokua nayo sikufanya nae sana mapenzi, mara muda wa kwenda masomoni ulipo karibia akanitumia ujumbe kuwa mimi si mridhishi na hisia zetu haziendani nakutaka tuachane, iliniuma sana sikulala usiku kucha kwani nilipromiss nitamuoa baada ya masomo.
Nikajuta kua bora ningefanya nae mapenzi kwa ustadi, mpaka sasa tunasalimiana tu kwa simu na anasema ameshapata mwingine na picha kanitumia. Nifanyenini na bado nampenda?
Ushauri wenu wakuu