mhemeavisogo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2014
- 345
- 200
Shida mkuu its like wanatunishiana misuli na huyo mzazi mwenzake akili ya mama mtoto hataki kabisa baba aje kumchukua mtoto wake so anakazimisha yule baba asitambulike wakati huo huo mtoto anatambulika kwa jina la baba yake, na pia kuna tukio la baba alijaribu kumwiba mtoto so baba anamtaka mwanae ila siyo kumhudumia akiwa mikononi mwa mama. Sasa mama mtoto anataka nichukue tu majukumu sasababu tu yeye na baba mtoto wameshindwana.
Mshauri huyo Binti asilazimishe Mawasiliano na baba mtoto wake, Wanawake wanatabia moja kama hampendi kabisa huyo jamaa angeisha Mpelekea huyo mtoto mapema sana, Ili kuondoa matatizo na kutokukupoteza wewe. Ndani ya moyo wa huyo bint still anampenda baba mtoto wake ndio maana anatafuta mwanzo wa mazungumzo yao. Yaliyo kukuta wewe ni the same story kama yaliyo mkuta Jamaa yangu. So watch out dude.